Hivi wanasheria wa Tanzania wote ni vilaza?

carmel

JF-Expert Member
Aug 24, 2009
2,836
262
Please take no offence, i am just suprised on what is happening in this country with issues concerning International contracts? We always loose as a result of failing to negotiate or being forced to enter into fake, or unfair contracts in most of the sectors. What is the problem?
Ist it that we have bogus lawyers as well? are they all fake? aren't they learned as they claim to be?... and our universities..are they producing fake lawyers who understand nothing? where is pride they want us to believe that them lawyers have got?
I am so ashamed, coz Tz is leading in this business of fake contarcts, loosing international cases, and so on. I challenge them through their association to re-think their profession, they are loosing credibility.
 
Sio wanasheria tu yaani wabongo wote ni vilaza hasa wataalamu tunasomesha maengeneer,madaktari,viongozi na watawala tena kwa fedha nyingi kupitia bodi lakini bado kila sekta ni matatizo tu na the end unakuta wote wanakua wezi tu jiulize mpaka sasa tanzania iianexport nini nje na ina import nini toka nje na hii serikali pesa inapata wapi yani wiziwizi wizi mtupu vilaza mpaka vyuo vikuu waalimu wanafikia stage ya kufagilia mafisadi sijui tunakwenda wapi!
 
Please take no offence, i am just suprised what is happening in this country with issues concerning International contracts? We always loose as a result of failing to negotiate or being forced to enter into fake, or unfair contracts in most of the sectors. What is the problem?
Ist it that we have bogus lawyers as well? are they all fake? aren't they learned as they claim to be?... and our universities..are they producing fake lawyers who understand nothing? where is pride they want us to believe that them lawyers have?
I am so ashamed, coz Tz is leading in this business of fake contarcts, loosing international cases, and so on. I challenge them through their association to re-think their professional, they are loosing credibility.

Carmel ndugu yangu
Its not that these learned bothers and sisters ni vilaza,,, NO
The problem is they are selfish na UFISADI period, imagine REX ATTORNEYS advised Tanesco that its OK to break the DOWANS contract because it was void and illegal in first place (inherited from Richmond) - They pocketed some money in that consultation.

They were hired to represent TANESCO in that case, I am sure they colluded with the benefactors!! - Pocketed 5bn from Tanesco

We lost the case, few days ago they are advising TANESCO to pay hizo billions kwamba haikwepeki!!!

Na ni kina nani hao?? Eti mmoja ni Balozi wa Tanzania sijui wapi...
If I was the president... Naanza na hao na wengine wote ni shaba kwa kwenda mbele!!
I wish this country was CHINA for just one month!!
 
Carmel ndugu yangu
Its not that these learned bothers and sisters ni vilaza,,, NO
The problem is they are selfish na UFISADI period, imagine REX ATTORNEYS advised Tanesco that its OK to break the DOWANS contract because it was void and illegal in first place (inherited from Richmond) - They pocked some money in that consultation.

They were hired to represent TANESCO in that case, I am sure they colluded with the benefactors!! - Pocketed 5bn from Tanesco

We lost the case, few days ago they are advising TANESCO to pay hizo billions kwamba haikwepeki!!!

Na ni kina nani hao??
If I was the president... Naanza na hao na wengine wote ni shaba kwa kwenda mbele!!
I wish this country was CHINA for just one month!!

...............And the managing partner was made a high commisioner to Britain nad later ambasssador to the US
 
...............And the managing partner was made a high commisioner to Britain nad later ambasssador to the US

This is a joke. nina uchungu yani naombe nipewe hii nchi kuiongoza hata kwa mwezi mmoja tu ndo watajua. (a dream so sweet oh lord)
 
Carmel ndugu yangu
Its not that these learned bothers and sisters ni vilaza,,, NO
The problem is they are selfish na UFISADI period, imagine REX ATTORNEYS advised Tanesco that its OK to break the DOWANS contract because it was void and illegal in first place (inherited from Richmond) - They pocketed some money in that consultation.

They were hired to represent TANESCO in that case, I am sure they colluded with the benefactors!! - Pocketed 5bn from Tanesco
We lost the case, few days ago they are advising TANESCO to pay hizo billions kwamba haikwepeki!!!

Na ni kina nani hao?? Eti mmoja ni Balozi wa Tanzania sijui wapi...
If I was the president... Naanza na hao na wengine wote ni shaba kwa kwenda mbele!!
I wish this country was CHINA for just one month!!

na hao TANESCO wanashindwa nini kuwashtaki hao RX kwa kuwa mislead?
 
Mi sina cha kusema haya matusi yoote unajua ni mambo ya USHIKAJI NA UJOMBA.
 
Sio wanasheria tu yaani wabongo wote ni vilaza hasa wataalamu tunasomesha maengeneer,madaktari,viongozi na watawala tena kwa fedha nyingi kupitia bodi lakini bado kila sekta ni matatizo tu na the end unakuta wote wanakua wezi tu jiulize mpaka sasa tanzania iianexport nini nje na ina import nini toka nje na hii serikali pesa inapata wapi yani wiziwizi wizi mtupu vilaza mpaka vyuo vikuu waalimu wanafikia stage ya kufagilia mafisadi sijui tunakwenda wapi!

kwa hiyo hapa nchini kila mtu hayuko serious, kuna sababu yoyote ya kungojea maendeleo?
 
Nadhani pia ni kukosa uzalendo ndo kumetufikisha hapa
 
Hata angekuwa ni Mwanasheria wa kutoka kuzimu, kesi ya Dowans isingeshindika. Simpo, wameleta mitambo, imejaribiwa, ina fanya kazi.

Dowans bila mkataba wangeleta mitambo? Hakuna kitu kinaitwa kurithi mkataba, wanaorithiwa ni wafiwa tu.

Mkataba ni baina ya Dowans na Tanesco, kama Tanesco walisitisha mkataba kwa kufata wanasheria huo ni upuuzi na ujinga wa Tanesco, unakwenda kwa mwanasheria unamuuliza nivunje nsivunje? Kama mchezo wa kitoto, unategemea mwanasheria atakuambia nini? Naye atakupa majibu kama mchezo wa kitoto, vunjaa? Hapana atakupa option mbili, eeh bwana ukivunja mkataba itakuwa hivi na ukiendelea nao itakuwa hivi. Hakuna mwanasheria atakwambia vunja halafu yakikukuta umlaumu yeye. Na tuonyesheni ni wapi REX waliwashauri Tanesco wavunje tu mkataba, haiingii akilini.

Tanesco na yeyote alie nyuma ya pazia ya maamuzi ya Tanesco ndie wanaotuweka kwenye hiki kiza mpaka leo. Sidhani shirika kubwa kama la Tanesco halina ubunifu wa kuweza kuweka umeme sawa mpaka washauriwe na wanasiasa au mawakili. Na kama ni hivyo, basi watoa maamuzi wa Tanesco wote hawafai. Dawa ya Tanesco ipo njiani inakuja.
 
Hata angekuwa ni Mwanasheria wa kutoka kuzimu, kesi ya Dowans isingeshindika. Simpo, wameleta mitambo, imejaribiwa, ina fanya kazi.

Dowans bila mkataba wangeleta mitambo? Hakuna kitu kinaitwa kurithi mkataba, wanaorithiwa ni wafiwa tu.

Mkataba ni baina ya Dowans na Tanesco, kama Tanesco walisitisha mkataba kwa kufata wanasheria huo ni upuuzi na ujinga wa Tanesco, unakwenda kwa mwanasheria unamuuliza nivunje nsivunje? Kama mchezo wa kitoto, unategemea mwanasheria atakuambia nini? Naye atakupa majibu kama mchezo wa kitoto, vunjaa? Hapana atakupa option mbili, eeh bwana ukivunja mkataba itakuwa hivi na ukiendelea nao itakuwa hivi. Hakuna mwanasheria atakwambia vunja halafu yakikukuta umlaumu yeye. Na tuonyesheni ni wapi REX waliwashauri Tanesco wavunje tu mkataba, haiingii akilini.

Tanesco na yeyote alie nyuma ya pazia ya maamuzi ya Tanesco ndie wanaotuweka kwenye hiki kiza mpaka leo. Sidhani shirika kubwa kama la Tanesco halina ubunifu wa kuweza kuweka umeme sawa mpaka washauriwe na wanasiasa au mawakili. Na kama ni hivyo, basi watoa maamuzi wa Tanesco wote hawafai. Dawa ya Tanesco ipo njiani inakuja.

Dear Idiot,

Who ordered TANESCO
  1. To enter the contract with DOWANS
  2. To seek legal redress from REX ATTORNEYS
  3. To pay REX ATTORNEYS 5bn/-
  4. Eventually making one partner an Ambassador?
  5. Appointed Dr Rashid MD
 
Hata angekuwa ni Mwanasheria wa kutoka kuzimu, kesi ya Dowans isingeshindika. Simpo, wameleta mitambo, imejaribiwa, ina fanya kazi.

Dowans bila mkataba wangeleta mitambo? Hakuna kitu kinaitwa kurithi mkataba, wanaorithiwa ni wafiwa tu.

Mkataba ni baina ya Dowans na Tanesco, kama Tanesco walisitisha mkataba kwa kufata wanasheria huo ni upuuzi na ujinga wa Tanesco, unakwenda kwa mwanasheria unamuuliza nivunje nsivunje? Kama mchezo wa kitoto, unategemea mwanasheria atakuambia nini? Naye atakupa majibu kama mchezo wa kitoto, vunjaa? Hapana atakupa option mbili, eeh bwana ukivunja mkataba itakuwa hivi na ukiendelea nao itakuwa hivi. Hakuna mwanasheria atakwambia vunja halafu yakikukuta umlaumu yeye. Na tuonyesheni ni wapi REX waliwashauri Tanesco wavunje tu mkataba, haiingii akilini.

Tanesco na yeyote alie nyuma ya pazia ya maamuzi ya Tanesco ndie wanaotuweka kwenye hiki kiza mpaka leo. Sidhani shirika kubwa kama la Tanesco halina ubunifu wa kuweza kuweka umeme sawa mpaka washauriwe na wanasiasa au mawakili. Na kama ni hivyo, basi watoa maamuzi wa Tanesco wote hawafai. Dawa ya Tanesco ipo njiani inakuja.
Ndg Zomba ebu tujuvye hiyo dawa ni ipi, maana watu tunakufa ili tuzuie kiliko kungoja tuishie wote!!
 
sio vilaza bali ni waathirika wa ujinga,ubinafsi na uchoyo wa asili uliopo kwenye dam zam zao.
 
Sio wanasheria tu yaani wabongo wote ni vilaza hasa wataalamu tunasomesha maengeneer,madaktari,viongozi na watawala tena kwa fedha nyingi kupitia bodi lakini bado kila sekta ni matatizo tu na the end unakuta wote wanakua wezi tu jiulize mpaka sasa tanzania iianexport nini nje na ina import nini toka nje na hii serikali pesa inapata wapi yani wiziwizi wizi mtupu vilaza mpaka vyuo vikuu waalimu wanafikia stage ya kufagilia mafisadi sijui tunakwenda wapi!

Very much so all this is a reflection of the society. Do not take lawyers in isolation watanzania wote kuanzia viongozi wanaong'ang'ania kulipa dowans mpaka mpiga kura anayehongwa Tshirt kanga na kofia ili achague uozo.
 
Dear Idiot,

Who ordered TANESCO

  1. To enter the contract with DOWANS
  2. To seek legal redress from REX ATTORNEYS
  3. To pay REX ATTORNEYS 5bn/-
  4. Eventually making one partner an Ambassador?
  5. Appointed Dr Rashid MD

Yes dullard:

1) No one.

2) Tanesco.

3) where is the proof?, even if paid, its their right, you wanted to use them for free? like what you did to Dowans? you'd end up paying from your bottom for wanting of free things.

4) That is none of your business, do you envy her?

5) Rashid opposed to this and that's why he resigned, Rashid wanted to buy the so called generators, have you forgotten, dullard? as if you didn't know.
 
Back
Top Bottom