Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
Tusijidanganye kwa kuquote maandiko na kusema kila mamlaka imewekwa na Mungu. Hapa Tanzania na nchi zingine za africa tuna mamlaka zilizo laanika kwa kutumia hila na udanganyifu wa hali ya juu ili kukaa madarakani. Siku zote hila ni za mwovu na hivyo tuna watawala wa lucifer.