hivi wanaoiba katika benki kwa kutumia mtandao wanatumia njia gani?

sajolin

Member
Jan 10, 2012
14
2
samahani wakubwa naomba nipate japo ujuzi na utaalamu wanaotumia hawa watu wanaoibia benki mbalimbali hapa nchini wanatumia njia gani maana naona hata benki zipo kimya zinaogopa hao watu,
 
ninachojua ni mbinu walizokuwa wanatumia watu kuiba huko nje. Mbinu mojawapo ilikuwa ni kuiba information zako kwenye credit card (ile magnet strip ndio inazo information) hivyo ulikuwa ukienda kuswipe card yako either kwenye petrol station au sehemu wanakuoza vitu unakuta muuzaji anakuwa na mashine ambao anaswipe ile mashine inacopy infomartion zote ambazo baadae anatumia kununulia vitu hususan online (lakini hii mbinu banks waliizuia kwa kuanza mtindo wa chip and pin, yaani hata ukinunua vitu na kuswipe card lazima uweke pin namba yako).

Mbinu ya pili ilikuwa inatumika kwa watu wanaofanya kazi benki kula deal na wateja.., yaani wafanyakazi wanajua accounts dormant za watu ambao either wamekufa au hazijaendeshwa kwa muda mrefu, hivyo wakawa wanatafuta wadau wa nje unafungua account anakuhamishia mshiko tuseme kama milioni tatu wewe unachukua milioni moja yeye anachukua mbili ila likisanuka wewe ndio unajibu...

Hivyo in short wizi ni wa aina mbili either mtu kuiba information zako na kuzitumia kutumia pesa zako au deal kuchezwa na wafanyakazi wa benki na watu wa nje kuiba pesa kwa kutransfer pesa
 
Sun wu sante kwa ufafanuzi wa kina.mie nilijua hii issue wanaoiba ni wataalamu wa program,programmer nikiwa na imani kabisa kwamba chochote kinachotengenzwa na binaadamu,hakimshindi mwingine.
 
Wanatumia mitandao ya ndani ya benki yaani kushirikiana na wafanyakazi wa benki. Je unauliza ili nawe ukaibe au kuwakamata?
 
Mkubwa hii ni process ndefu sana za kuiba hela benki,kwanza huwa wanatengeneza VIRUS wao huyu VIRUS hu2mwa kwenye computer mbalimbali kwahyo sasa mtu akiwa ananunua vitu ONLINE lazma ata2mia KADI YA BENKI kununulia hvyo v2 sasa huyo virus kama yupo kwenye computer basi atapeleka mawasiliano ya ile account yako na hvyo basi hela zote za benk ztakuwa zmechukuliwa au kuhamishwa kwenye account nyngne,hapa nina maelezo mengi sana kama vp nitaweka maelezo hapa ujue jinsi wataalam wa mambo ya IT wa nchi za wenzetu wanavyoiba kweny online.
ASANTE SANA MKUU.
 
Mkubwa hii ni process ndefu sana za kuiba hela benki,kwanza huwa wanatengeneza VIRUS wao huyu VIRUS hu2mwa kwenye computer mbalimbali kwahyo sasa mtu akiwa ananunua vitu ONLINE lazma ata2mia KADI YA BENKI kununulia hvyo v2 sasa huyo virus kama yupo kwenye computer basi atapeleka mawasiliano ya ile account yako na hvyo basi hela zote za benk ztakuwa zmechukuliwa au kuhamishwa kwenye account nyngne,hapa nina maelezo mengi sana kama vp nitaweka maelezo hapa ujue jinsi wataalam wa mambo ya IT wa nchi za wenzetu wanavyoiba kweny online.
ASANTE SANA MKUU.
tunasubiri kaka
 
tunasubiri kaka

vp kaka wataka kuiba ONLINE nini?
Te te te te te te
1.uwe unajua kutengeneza VIRUS wa kukuletea information zote kutoka katka computer za watu mbalimbali,kama hujui huwez 2mia hii k2,MAPROGRAMMER NAWAKUBALI SANA ILA WA TZ EMPTY KABISA.
 
Sun wu sante kwa ufafanuzi wa kina.mie nilijua hii issue wanaoiba ni wataalamu wa program,programmer nikiwa na imani kabisa kwamba chochote kinachotengenzwa na binaadamu,hakimshindi mwingine.
Ofcourse hata kuiba hizo information kutoka kwenye magnetic strip (kunahitajika program), ila sio kwamba kuiba lazima uwe programmer ni kwamba wanaotengeneza wanaweza kuwauzia wengine (lakini suala la kuiba information peke yake kumepungua sana baada ya benki zinazotoa credit cards kuweka security zaidi (kama ulazima wa kutumia pin number as well as credit card number n.k.)
 
Hivi wale wezi wa crdb miaka ya 2002 waliishia wapi?
 
Acha Online watu waliwachapa Vodacom (M-Pesa) na wana uwezo wa kutengeneza.credit Vocher
Tuwashukuru wataalam wote wanaotufafanunulia mm nawaogopa Wachina wameleta modem za Huawei watanzania wakazichakachua
 
Back
Top Bottom