Hivi Wana-CUF Waliokuwa Hawajui Kuwa Chama Chao Ni Mamluki Wana Msimamo Gani?

............................ Dr.Shein hakushinda, lakini wazanzibari hawakujadili hilo akiwemo M.Seif.Kama wewe ni mzanzibari ungelifahamu vizuri maamuzi aliyofanya Seif yamelenga wapi.................................

Hapo kweli ndipo CCM imewaingiza CUF mjini tena kwa kuwavalisha sketi mchana kweupe. Subiri hoja zipelekwe bubgeni uone Zanzibar siyo nchi na uone kuwa muafaka siyo lolote au chochote zaidi ya changa la macho kwa CUF na CCM kutwaa ushindi kwa ridhaa ya CUF. Hapa nimeona kuwa CUF ni wavivu wakufikiri (msemo mtamu wa BWM). Makamu wa pili wa raisi kazi yake ni nini? Je wale mabingwa akina Mwinyi na Mkapa walikuja kufanya nini? Faida ya tamaa na usaliti ndiyo hiyo subirini muone.

Iwapo hilo mtalikataa ni lazima mvunje muungano. Itakuwa furaha ya shirazi kwani itawatawala kama wanavyotaka na mtakubali kwa mtindo huohuo. Mtaungana na Iran, kama redio Teheran inavyo kampenia kila wakati.

CCM haikushinda Zanzibar, raisi angekuwa Maalim Saifu, tamaa, uchu wa madaraka na kuvunja muungano kwa maslahi binafsi na ya wachache wao na zaidi kwa kurudisha usultani ndiyo azma ya Saifu na CUF. CCM kwa hilo sijui niwapongeze au vipi?

Mapinduzi daima ni neno zuri sana
 
Chadema na siasa za maji taka. Kwani wabaya wenu ni cuf au ccm??. Kitendo cha watu kuuwawa kwenu nafsi zinabvuridika. Ama kweli sioni tofauti kati yenu na mayahudi. Kufa kwa kudai haki hampendi, watu wakifa kudai haki mnashingilia eti kwa kuwa tu hao si ninyi bora wafe tu!.ngedere wale! Ninyi kuuwa ndio jadi yenu! Watanzania wamewashtukia. Mtabaki na siasa zenu za maji taka. Kudai katiba ni haki yetu sote. Lakini si mpaka bwana mkubwa atake? Cha ajabu mnamkataa leo kesho oooh tunamkubali. Jifunzeni kwa kafu mjue namna siasa zinavyooendeshwa kistaarabu. Achaneni na siasa mbovu hizo. Vita yenu sio ninyi na kafu bali na ccm. Mnatengeneza chuki na mtachukiwa na jamii ya watu mnaowatenga. Mwisho wake mtauawa kama panzi kwa vile mnajulikana.
 
Hapo kweli ndipo CCM imewaingiza CUF mjini tena kwa kuwavalisha sketi mchana kweupe. Subiri hoja zipelekwe bubgeni uone Zanzibar siyo nchi na uone kuwa muafaka siyo lolote au chochote zaidi ya changa la macho kwa CUF na CCM kutwaa ushindi kwa ridhaa ya CUF. Hapa nimeona kuwa CUF ni wavivu wakufikiri (msemo mtamu wa BWM). Makamu wa pili wa raisi kazi yake ni nini? Je wale mabingwa akina Mwinyi na Mkapa walikuja kufanya nini? Faida ya tamaa na usaliti ndiyo hiyo subirini muone.

Iwapo hilo mtalikataa ni lazima mvunje muungano. Itakuwa furaha ya shirazi kwani itawatawala kama wanavyotaka na mtakubali kwa mtindo huohuo. Mtaungana na Iran, kama redio Teheran inavyo kampenia kila wakati.

CCM haikushinda Zanzibar, raisi angekuwa Maalim Saifu, tamaa, uchu wa madaraka na kuvunja muungano kwa maslahi binafsi na ya wachache wao na zaidi kwa kurudisha usultani ndiyo azma ya Saifu na CUF. CCM kwa hilo sijui niwapongeze au vipi?

Mapinduzi daima ni neno zuri sana

Deo huwezi kufahamu logic ya iliofanyika hapo.Mimi nafahamu na kukubali kilichofanyika, na bado namuunga mkono Seif na CUF.Wala sijioni kama mvivu wa kufikiria, maana upande wa pili wa shilingi ni kukataa matokeo (mgogoro wa kisiasa) au alternative ni kutia wananchi barabarani.

Option hizo mbili zote hazina tija yoyote, ikiwemo hio ya mgogoro wa kisiasa tayari tushaona faida zake na hasara zake na wazanzibari tunaifahamu vizuri sana...wala usijaribu kunifahamisha umuhimu wake (hoja ya msingi ya kutokubaliana na Chadema kugoma kufanya kazi bungeni).

Kwa ufupi wananchi wa Zanzibar tumekula masumbwi ya uchumi ka muda wote wa migogoro hio ya uchaguzi.Faida yake iko wapi ?....Uchaguzi wa 2010 tumeingia serekalini, kurekebisha baadhi ya mambo....we are moving forward, you see ???
 
Back
Top Bottom