The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,385
- 12,970
Madeni yasipolipwa shule hazifunguliwi asema Mkoba | Send to a friend |
+2 #12 BEBERU 2012-01-05 12:50 PIA NA MISHAHARA WAWAONGEZEE NA POSHO PIA ZIONGEZWE, HAKUNA KULALA SAFARI HII, SI MNAONA HALI YA MAISHA ILIVYOKUWA NGUMU, MADAKTARI TAYARI WAMECHARUKA NA NYIE PIA FUNGENI MKANDA MAPAMBANO YA HAKI MPAKA YAPATIKANE, NA POLISI PIA VIPI MBONA KIMYA? AU MMELIZIKA NA VIJIPESA MNAVYOPEWA? AU KWA KUWA MNAYO MIANYA MINGI YA RUSHWA NDIO MAANA HAINA NOMA KWENU?
Quote
+4 #11 kiboko 2012-01-05 11:27 Walimu shikamaneni kudai haki zenu,Wabunge toka 70,000 mpaka 200,000 tena kimya kimya wanatafuna fedha za nchi hii,Hivi huyu Mwalimu tunamchukiliaje ?!,Kwakweli Walimu baada ya Kulipwa madeni yenu sasa kinachofuata ni madai ya kima cha mshahara kivuke kiwango cha posho ya Mbunge kwa siku,maana huyu mbuge bila Mwalimu asingekuwa pale kwakweli mwalimu ni mtu muhimu sana na tunapaswa kumuheshimu kimaslai tuache ubabaishaji! KWAKWELI NAUNGA MKONO MGONO WA WALIMU WA TAREHE 9 .TUONE KAMA WALIMU WAKIGOMA MABOSI WATAENDA FUNDISHA.
Quote
+3 #10 baraka mushi 2012-01-05 11:21 jamani walimu tumuunge mkono mukoba,tujue tunaendelea kunyanyasika siku hadi siku,tumekuwa kama wendawazimu,hau dhaminiwi,we should have solidarity,let our decisions be the final,tugome!tu gome kwa pamoja,solidari ty 4ever!tukumbuke kwamba tuna madai mengi,kama waraka kandamizi!tusip osimamia haki zetu tutaendelea kukandamizwa!ka m we una taalumu yako,unaogopa nini kutetea haki yako!na njia sahihi sii nyingine sasa ni kugoma!chondech onde walimu tugome!
Quote
+4 #9 Neema 2012-01-05 11:06 Walimu tumechoka kunyanyashwa na mishahara yetu sasa uvumilivu umetuisha.Kifupi ni kwamba shule hazitafunguliwa mpaka tulipwe madeni yetu. Iweje pisa nyingi zitumike kusherekea miaka 50 ya Uhuru zikosekane zakulipa walimu?
Quote
+2 #8 NOAH MWASOMOLA 2012-01-05 11:02 SINA IMANI JUU YA SERIKALI YETU TENA, NA HILI HUWEZI NIBADILI MTIZAMO, MAMBO MENGI IME-PROVE FAILURE. Mwalimu ni kila kitu ktk dunia hii but serikali haithamini hili,TUMEONA KAULI HATA YA so-called RAISI ikiwa ni false defence on the issue,kama raisi mwenyewe kawasaliti walimu,nani atawtetea?naunga mkono mgomo kwa 100%, "TOGETHER WE CAN CHANGE THE WORLD" WALIMU WOTE TUSHIKAMANE.
Quote
-3 #7 jakob tuli 2012-01-05 10:46 NAKUUNGA MKONO WE KAWAMBWA, WALIMU MTAMBUE KUWA MKOBA SIO MTETEZI WENU,KUNA SIRI NAWAPA LEO,2015 ANATAKA KUGOMBEA UBUNGE HUKO KWAO,NOW ANATAFUTA UMAARUFU HANA LOLOTE MPUUZENI
Quote
+3 #6 osokoni 2012-01-05 10:27 Nawavowajua walimu wa Tanzania hiyo ni Tishia nyau shule zikifunguliwa utwaona kiguu na njia kupiga chaki kama kawa bila kujali wamelipwa au la watanzania wengi tumejaliwa sana kuongea lakini kutenda hakuna laiti tungeweza kutenda robo tu ya yale tunayosema hili taifa lingekuwa mbali sana, ngoja tusubiri tuone but iam doubtful!!!!
Quote
+1 #5 chris nombo 2012-01-05 10:11 Tunadanganywa, hakuna uhakiki wala mgomo!
Quote
0 #4 chris nombo 2012-01-05 10:08 hizo ni danganya toto on both sides!!!
Quote
-1 #3 kawambwa 2012-01-05 09:54 Mukoba ameshapewa chake, walimu mnapoteza tu muda wenu,kikubwa endelea kufelisha wanafunzi, vinginevyo haki haipo ndani ya serikali ya JK
Quote
+2 #2 kashaija 2012-01-05 09:32 walimu mkilegeza msimamo serikali itaendelea kuwachea,km serikali ilipata mabilion ya sherehe za uhuru,iweje wakose za kuwalipa walimu?kazeni msimamo.
Quote
+2 #1 Peter michael 2012-01-05 07:34 Walimu hachen woga ungeni mkono mgomo lasivyo serikali itaendelea kupiga danadana malipo yenu! swali dogo jiulizeni ni tangu lini madeni hayo yameanza kuakikiwa na kwanini hayalipwi? swala la serikali haina hela ni uongo mbona posho wanalipana! wake up!