Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Wajameni, mimi nashangaa jinsi hawa wahariri wa magazeti yetu jinsi walivyonyoroshwa na huyu mwekezaji (aka Ali Hadaiwi), nijuavyo mimi waandishi wa habari ni watundu sana na huweza kumpiga picha mtu bila hata yeye kujua kuwa kapigwa picha au karekodiwa. Sasa kinacho nishangaza mimi ni jinsi hawa wahariri walivyotii amri ya kutompiga picha au kurekodi sauti ya huyu mwekezeji, je walikuwa chini ya ulinzi wa mtutu wa bunduki?
Au ni unyenyekevu na usikivu tu wa Watanzania??
Au ni unyenyekevu na usikivu tu wa Watanzania??