figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Mwenyekujua..naomba anisaidie.je wanafugika kweli?mbona naskia ukimnunua baada ya siku3 unamkuta tena pale victoria anauzwa?ni hayo tu.mia
Kuna watu wajinga kweli vingunguti wanakuuzia mbwa halafu wanakuja usiku kumwiba.
Mfungie mazima
wale wa vigunguti siyo.kuna mbwa nlimpata pale kijiwe samli nilivyokuwa nampa msosi kakimbia kaniacha.mi nahitaji wale wa pale victoria.vipi?mia
umeskia toka kwa nani na mbona huyo uliye msikia hakukwambia kama wanang'ata au la
kumfungia sio tatizo.je wanang'ata?mia
thetehethethet!! eti mvutishe bangi!!Mkate mkia, mvutishe banghe atang'ata vizuri sana..
Kuna watu wajinga kweli vingunguti wanakuuzia mbwa halafu wanakuja usiku kumwiba.
Mkate mkia, mvutishe banghe atang'ata vizuri sana..