jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Hapo kwenye source ni JF.Mh!! kaazi kweli kweli
source: lizzy
Hapo kwenye source ni JF.Mh!! kaazi kweli kweli
source: lizzy
Vipi mkuu, wewe unaonaje hizo experiments?Hapo kwenye source ni JF.
Kwa sababu yeye tu kasema kwenye JF,
mbona wanaume wengi tu wanayafanya.
Kuna mitandao na groups flani watu wakielelezea hayo wanayofanya waume zao huko vyumbani.
Tena wabongo wenzetu kabisaaaa!
Wengine wanajaribu hadi nguo za harusi za wake zao.
Yap!lengo ni kumfanya mwenzio atabasam tu si vinginevyo,hapa ndio utasikia mtot wa kike anamsifu mpenziwe kwa kusema mpenzi wangu mtundu...utundu wenyewe ndio vijimambo kama hivyo nyie wakaka msichukulie kila kitu serious bana aaah!
Mambo ya umaarufu
Sasa na huo mzigo wa mbele uliuwekaje?
Mana zile special kwa flat screen, sasa huo mbinuko wa mbele si umeichana itakuawa, or?
Watu wanafanya lkn huwa nyumbani tu, wkt wa matani ya mapenzi, ila ww mpk kazini!?
Mh! I can smell smthng.......................
Heel naaw!lolVipi mkuu, wewe unaonaje hizo experiments?
We umeona kabisa huo ni uzi unaingia kwenye makamerun, halafu unakuja JF kulalamika?
Hao wameumbwa tofauti, ama wewe una matundu mangapi bro?
hapana mpendwa....ulipata salam zangu?
hapana mpendwa....
hahahahahhahah kzila huyo...nna zaidi ya miezi 6 huyu mtu sijui anabwekea wapi sijamsikia hata!nilimpa shossi azifikishe.
embu niachie dada ako tuone kama ni kweli.