Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Matatizo ya watanzania mengi yanasababishwa na;Ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia haya mashindano yanayoandaliwa na kituo cha television cha CNN.kwa waandishi wa habari na watangazaji,kila mwaka.mbona watanzania cwaoni wakiibuka washindi! Kila mwaka wakenya ndio wanaochukua tuzo hizo kwa wingi!tatizo lipo wapi jamani?au ndio mambo yetu yale yale..,
kutowajibika,
kutokujituma,
kutopenda kutimiza majukumu!
kufanya mambo nusunusu!
kutojiamini,
kuhisi kuonewa!
kutotaka kuthubutu...
woga bila sababu!