Hivi Wakenya wametushinda nini?

Ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver

Tazama KTN au KBC picha ziko clear, news zimetulia, watangazaji wametulia

Soma gazeti la NATION au Standard...huwezi fananisha na lile gazeti la Michuzi (daily nyuz) au lile la copy and paste (guardian)

sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, JF ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?

I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.

Halafu wao kujenga li Superhighway kama hili ili iweje?

ahh sisi hata kuthubutu tunashindwa sijui kwa nini

7293527580_6750ff3295_b.jpg

Wao wakiahidiwa barabara isipojengwa lazima atoswe mtu. Sie ahadi zinajirudia bila kufanyiwa kazi....
Bila kuingoa CCM, hapa hakuna kitu kitafanyika..
 
madaktari wao waligoma wakasikilizwa, huku serikali imekaa kimya.
Rais wao hasafiri mara kwa mara kama wetu.
 
Kama fedha yote wamepeleka nje tena watu wachache tutegemee nn. Leo kila jambo halihojiwi maana liko mahakamani hapo ndipo wanapojifichia kwa mtindo huu itapita miaka mingi tukisubiria miujiza
 
Generalizations si jambo jema sana. Tusema kuwa asilimia kubwa ya watz ni wavivu,si wote. Na vivyo hivyo wakenya asilimia kubwa ni wachapa kazi na wavivu nao wamo. Tofauti kati ya Watz na Wakenya ipo. Kwanza historia ya miaka 50 ya kila Taifa ni tofauti. Wao wameishi katika mfumo wa kibepari kwa miaka hiyo 50 na sisi kimsingi tumeishi kwa ujamaa(mara nyingi uliojaa unafiki).

Kwa bahati mbaya sana mfumo wetu ulitwa madaraka/nguvu ya mtu binafsi na kuipeleka serikalini- Power usurp from persons(citizens) to the government! Elimu bure,afya bure, pembejeo bure, nk. Serikali ikawa ni kama BABA kwa Watanzania wote. Hata mpaka leo mtaa ukiwa mchafu,watu wanasema serikali haijasafisha mtaa,wakati kama kila mwenye nyumba angechukuwa jukumu la kusafisha eneo la nyumba yake mtaa wote ungekuwa safi! Wanabakia kuilaumu serikali. Lawama kama hizi zipo kila kona ya nchi yetu,serikali ifanye hiki,ifanye kile nk

Baada ya kutwa nguvu hii, ingawa halikuwa lengo la siasa ya ujamaa, mtanzania wa kawaida alibakia kuwa hohehahe,lofa,asiye na uwezo wa kuiamrisha serikali kumfanyia mambo ya maendeleo. Dhana hii ikasambaa mfano wa chloroform,ikabakia kuwa sehemu ya maisha ya mtanzania na vizazi vyake. Hiki ndicho kilichozalisha asilimia kubwa ya watu wasiojiamini,wasiothubutu, na ambao wanonekana kuwa ni wavivu. Mfumo wa kisiasa na kiuchumi ndio unaoamua kuwa wananchi wanakuwa wa namna gani. Kama mfumo ni wa aina ya kila mtu na lwake,basi kila mtu anakuwa competitive- you do or die. Kama mfumo ni kuwabeba wananchi kuwa tulime wote au tufanye kazi wote tugawane sawa kinachopatika,basi kila mtu ana kuwa goigoi kwa namna fulani kwa kuwa hayupo responsible kwa kile anachofanya bali kundi ndio linakuwa responsible.
 
Ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver

Tazama KTN au KBC picha ziko clear, news zimetulia, watangazaji wametulia

Soma gazeti la NATION au Standard...huwezi fananisha na lile gazeti la Michuzi (daily nyuz) au lile la copy and paste (guardian)

sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, JF ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?

I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.

Halafu wao kujenga li Superhighway kama hili ili iweje?

ahh sisi hata kuthubutu tunashindwa sijui kwa nini

7293527580_6750ff3295_b.jpg

Mkuuwell said. Ninatumia simu ndio maananimequote tjread yote. Tanzania ni laana tu. Mijitu imekaa roho mbaya, ubinafsi na choyo. Umezungumzia issue ya mahakama ya kadhi. Wenzetu this has never been a case. Ila mijitu huku inatoka mapovu kila ikielemishwa haielewi nimekalia ubishi tu.

Sisi tutabakia kulumbana tu mara hawa wanaleta udinmi, mara CUF waislamu, mara CDM wakristo mara CCM waislamu. We cant think beyond that.. Hivyo kaka usitegemee mabadiliko yoyote.
 
Ni rahisi sana kusifia kitu ukiwa mbali. Mleta mada naomba aishi Kenya kwa mwezi mmoja tu alafu atuletee report.

You have a point. Fundamentally, our
state of affairs has influenced by historical factors, policies adopted after independence, bad constitution, bad leadership, lac
k of vision. It is the reversal of the above which will turn Tanzania as a country in the right direction. Resilience of Tanzanians is being betrayed by
poor leadership and bad constitution.
 
ukikutana nao nje ya nchi wana confidence za kufa mtu. Wakiwa kwao hawataki longo longo na kama hawaelewani watapigana mikwaju kisha wanadeliver

tazama ktn au kbc picha ziko clear, news zimetulia, watangazaji wametulia

soma gazeti la nation au standard...huwezi fananisha na lile gazeti la michuzi (daily nyuz) au lile la copy and paste (guardian)

sisi tuna watu wengi zaidi, rasili mali nyingi zaidi, wanasiasa wengi zaidi, vyama vya siasa vingi zaidi, magazeti mengi zaidi, jf ndio zaidi, cabinet yetu kubwa kuliko ya kwao, katiba yao (na mahakama ya kadhi ndani) ndio walipitisha, sasa kwa nini hawa wana deliver na sisi hatuna kitu?

I've tried to hate them lakini nimeshindwa, cant hate their ambition esp based on their national interest.

Halafu wao kujenga li superhighway kama hili ili iweje?

Ahh sisi hata kuthubutu tunashindwa sijui kwa nini

7293527580_6750ff3295_b.jpg

they are determined to gain not to lose like bongoland. But magufuli ameahidi nia sita hadi chalinze.
 
Hivi pale magomeni kagera katikati ya barabara wanakojenga maguzo ya nondo ndio yatapita magari yaendayo kasi?
 
surely inaudhi sana........sisi bado hatujawa na online TV, gharama zetu za mawasiliano ni za kuwaumiza walalahoi..........inaudhi sana
 
Tatizo hapa TZ mpaka leo nchi hii inaongozwa na mfu (marehemu)

na sisi tumejibu mapigo kwa kuwa na reli ya DAR

UKWELI NI KUWA WAO WALISHAFIKA MBALI SANA KWENYE SUALA HILI

WAMETUPIGA MKWARA TUSIJENGE BARABARA SERENGETI...HATUJATHUBUTU wote tumefyata mkia

wametupiga mkwara tusijenge airport....wote tume fyata

na kampeni za kupinga mpaka JF zikaletwa humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom