Hivi wakatoliki ndio Think Tank ya wakristo wote Tz

Status
Not open for further replies.
kiongozi,


sina uhakika na efficiency ya hizi solutions 2. Labda nieleze ninavyoona.

Unajua watu tunapoketi kujibizana na akina barubaru na kundi lake, na hoja zao, ni wakati huohuo tunapoteza makali ya jf ya kukata ishu. Kukata ishu kwetu ndiko kulikoi-define jf na mpaka serikalini inafahamika hivyo. Tukiendelea na hizi petty discussions za hawa ndugu ni jambo zuri, lakini ndivyo hivyohivyo tuna-divert efforts from main issues. Issues ambazo zinatujenga na zipo dynamic kuelekea mabadiliko.

mkuu unajua watu wote humu ndani ya jamvi hawafanani kifikra. Na kitendo cha kutoa nafasi kwa yeyote anayependa kujiunga irrespective of fikra zake ndiyo kumeleta mgongano. Kwani baadhi wanapotoa mawazo yao yanayoenda kinyume na mawazo ya wengine then inakuwa kasheshe. Nafikiri tuvumiliane na kueleweshana kama tukipelekana kijeshi wengi tutawaacha njiani. Nawakilisha.
 
wewe nawe ndio maana umetukanwa kwenye post yako ya nyerere kutangazwa kuwa saint..do your homework kabla hujapost vitu hapa

Sawa kabisa Kigogo huyu jamaa hafanyi homework yake. Nakumbuka somewhere hao anaowataja wakristo wasio wakatoliki kwa nyakati tofauti walisema wanaunga mkono waraka wa Kanisa katoliki. Isipokuwa wachache... Huyu jamaa anatakiwa kufanya hw yake kwanza kabla hajamwaga vitu hapa.
 
Hapa ningependa kujuwa kama Wakatoliki hapa Tanzania ndio Think Tank ya madhehebu yote ya wakristo hapa Tanzania.

Kilichonifanya nijiulize suala hili ni hili la Waraka wa wakatoliki. Kwa kweli vibaraka wote Kanisa hili mara baada ya kuutoa walimuuliza waziri mkuu, na kuupenyeza Bungeni ujadiliwe, walimuuliza shehe mkuu wa Bakwata na watu mbalimbali ikiwemo hapa jamvini.

Tumeona kila aliyediriki kuupinga alitukanwa na kukashifiwa sana mf Mzee Kingunge, Kakobe na wengine.

Lakini waandishi hao hao sijaona hata sehemu moja wakimuhoji Askofu mkuu wa KKKT askofu Malasusa au Askofu mkuu wa Anglicana Dr Mokiwa.

Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.

Suala langu kuwa je wakatoliki ndio think tank ya wakristo wote hapa Tanzania?


Unauliza vumbi stoo kaka?
 
.

naona na mimi nikuulize NI WAPI Askofu Malasusa alihojiwa kuhusu Waraka huu wa Wakatoliki na kuukubali. Ni Wapi Dr Makowa wa Anglican alihojiwa kuhusu waraka huu na akaukubali? Lete ushahidi wako.

Tunajuwa fika waandishi walimuhoji Shehe wa Bakwata, Mh Kingunge, Waziri Mkuu na hata Raisi na wengine wengi na walituhabarisha kupitia vyombo vya habari. Vipi kuhusu Malasusa na Dr Mokiwa au hao waliwaona kama Kilaini hakuna haja kupata rai zao.

Inabidi uelewe kwamba waandishi wa habari wanatafuta news! Anything they think they can sell! Sasa watamhoji vipi Malasusa au Makowa wakati hataupinga? waraka ulishatoka tayari kama habari wanataka wapate the negative side of it, na hiyo ndiyo habari! Ndio maana waliweza kula vichwa vya kutosha kwa kupata maoni ya tajiri wa kituo cha mabasi ubungo, sorry I mean mzee Kingunge.
 
Mkuu kwa kuwa wewe ndiye unayetaka mahojiano na hao maaskofu nafikiri ungefanya hivyo. Kwani waandishi wa habari hawakuwa wajinga kwenda kwa hao waliowaohoji ambao wengi wao si kuwa walifuatwa na waandishi bali wao ndiyo waliita press conference. So kama hawa hawajaita press conference kwanini wasumbuliwe?

HIVYO ILI URIDHIKE NI VIZURI UKAENDA KUWAONGEA NAO MWENYEWE NA UJE UTUJUZE YALIYOJIRI KWENYE HIYO INTERVIEW. BADALA YA KUBISHANA VITU VISIVYO NA MSINGI.
Nilipo RED ni uongo mkubwa sana na unapaswa ukemewe kwa njia zote. SHINDWA SHINDWA na ulegee.

Wote walifatwa na waandishi wa habari. Mtu pekee aliyeitisha press confr ni Askofu Kakobe.

Kama waandishi hawa hawakuwa mawakala wa Wakatoliki basi walikuwa na haki ya kimsingi kuwasikia vp Malasusa, Dr Mokiwa, na Hata Dr Rwekatare wanasemaje. Vipi walimuhoji Shehe wa Bakwata na wasimuoji Malasusa? Hapo ndipo ninapotilia shaka na kusema labda wakatoliki ni think Tank ya wakristu wa Tanzania.

naomba ufafanuzi uniondoe utata huu
 
kiongozi,


sina uhakika na efficiency ya hizi solutions 2. Labda nieleze ninavyoona.

Unajua watu tunapoketi kujibizana na akina barubaru na kundi lake, na hoja zao, ni wakati huohuo tunapoteza makali ya jf ya kukata ishu. Kukata ishu kwetu ndiko kulikoi-define jf na mpaka serikalini inafahamika hivyo. Tukiendelea na hizi petty discussions za hawa ndugu ni jambo zuri, lakini ndivyo hivyohivyo tuna-divert efforts from main issues. Issues ambazo zinatujenga na zipo dynamic kuelekea mabadiliko.
Abdulhalim huna issue wewe tunajuwa wewe kiboko yako ni Dr Barubaru na mara zote yeye anakushinda kwa hoja wee unajiona ni bingwa tu wa matusi. Hakika Abdulhalim Umefulia hapa zinatakiwa hoja sio matusi. Wote tumekudharau na tumeku delete katika DB zetu.

mkuu unajua watu wote humu ndani ya jamvi hawafanani kifikra. Na kitendo cha kutoa nafasi kwa yeyote anayependa kujiunga irrespective of fikra zake ndiyo kumeleta mgongano. Kwani baadhi wanapotoa mawazo yao yanayoenda kinyume na mawazo ya wengine then inakuwa kasheshe. Nafikiri tuvumiliane na kueleweshana kama tukipelekana kijeshi wengi tutawaacha njiani. Nawakilisha.
maneno mazuri naomba kuelimishwa
 
kiongozi,


sina uhakika na efficiency ya hizi solutions 2. Labda nieleze ninavyoona.

Unajua watu tunapoketi kujibizana na akina barubaru na kundi lake, na hoja zao, ni wakati huohuo tunapoteza makali ya jf ya kukata ishu. Kukata ishu kwetu ndiko kulikoi-define jf na mpaka serikalini inafahamika hivyo. Tukiendelea na hizi petty discussions za hawa ndugu ni jambo zuri, lakini ndivyo hivyohivyo tuna-divert efforts from main issues. Issues ambazo zinatujenga na zipo dynamic kuelekea mabadiliko.
Abdulhalim huna issue wewe tunajuwa wewe kiboko yako ni Dr Barubaru na mara zote yeye anakushinda kwa hoja wee unajiona ni bingwa tu wa matusi. Hakika Abdulhalim Umefulia hapa zinatakiwa hoja sio matusi. Wote tumekudharau na tumeku delete katika DB zetu.

mkuu unajua watu wote humu ndani ya jamvi hawafanani kifikra. Na kitendo cha kutoa nafasi kwa yeyote anayependa kujiunga irrespective of fikra zake ndiyo kumeleta mgongano. Kwani baadhi wanapotoa mawazo yao yanayoenda kinyume na mawazo ya wengine then inakuwa kasheshe. Nafikiri tuvumiliane na kueleweshana kama tukipelekana kijeshi wengi tutawaacha njiani. Nawakilisha.
maneno mazuri naomba kuelimishwa
 
Kiongozi,


Sina uhakika na efficiency ya hizi solutions 2. Labda nieleze ninavyoona.

Unajua watu tunapoketi kujibizana na akina Barubaru na kundi lake, na hoja zao, ni wakati huohuo tunapoteza makali ya JF ya kukata ishu. Kukata ishu kwetu ndiko kulikoi-define JF na mpaka serikalini inafahamika hivyo. Tukiendelea na hizi petty discussions za hawa ndugu ni jambo zuri, lakini ndivyo hivyohivyo tuna-divert efforts from main issues. Issues ambazo zinatujenga na zipo dynamic kuelekea mabadiliko.

Inategemea unapendelea nini mzee! Starehe ni starehe, waweza kwenda Njenje, mwingine ngwasuma, yeye Travertine magomeni kwenye rusharoho, mimi Segere, wao Billcanas na wengine kwa King kikii kama si kwenda kucheck mechi ya Man vs Arsenal.

Sasa wewe kwako ishu ni ipi kaka? How petty discussion are petty? Nyie ndo mnapitwa na Mengi kwa kutosoma Magazeti ya udaku, shauri yenu! mimi George_Porje, Masanilo na Chrispin never miss!
 
Inategemea unapendelea nini mzee! Starehe ni starehe, waweza kwenda Njenje, mwingine ngwasuma, yeye Travertine magomeni kwenye rusharoho, mimi Segere, wao Billcanas na wengine kwa King kikii kama si kwenda kucheck mechi ya Man vs Arsenal.

Sasa wewe kwako ishu ni ipi kaka? How petty discussion are petty? Nyie ndo mnapitwa na Mengi kwa kutosoma Magazeti ya udaku, shauri yenu! mimi George_Porje, Masanilo na Chrispin never miss!


Sijasema popote kuwa thread za burudani zisiwepo, ninachopinga ni hawa watu wanaoleta thread za uchonganishi na kuleta malumbano yasiyo na tija. Fuatilia kwa makini wanachosema wengine, usikurupukie vitu bila kuvielewa.
 
Sijasema popote kuwa thread za burudani zisiwepo, ninachopinga ni hawa watu wanaoleta thread za uchonganishi na kuleta malumbano yasiyo na tija. Fuatilia kwa makini wanachosema wengine, usikurupukie vitu bila kuvielewa.

Maskini WEEEEEEEEEEEEE!

Huo ni mfano tu ndugu yangu! Nimekutajia mfano wa burudani kuonesha tofauti kwamba kila mtu ana kitu anachikipenda! Ya kwamba hata burudani zipo za aina nyingi kama nilivyoelezea, nikimaanisha ukataji wa ishu kama unavyodai upo wa aina nyingi, moja wapo ndiyo hii.

Inaonesha na wewe ulikuwa la darasa la VIIB make ni mgumu kuelewa, inaonesha hata hii topic hujaielewa vizuri!
 
kila wazo linaanzisha na mtu au watu fulani......wengine wanakuwa na kazi ya kuhoji iwapo wazo hilo linamaana yoyoye ......takwimu zako kuwa kkkt ni wengi kuliko wakatoliki sio za kweli kwani kinyume chake ndio kweli.......kkkt kukubali ni baada ya kusoma na kukubali mawazo hayo mbadala.....suala hilohilo lingetolewa na wasabato wakatoliki,kkkt na wengine wangekubali lakini pia akina kingunge na akina kakobe wasingekosa kwani kila mtu anauhuru wa kutoa maoni.................
 
Hapa ningependa kujuwa kama Wakatoliki hapa Tanzania ndio Think Tank ya madhehebu yote ya wakristo hapa Tanzania.


Hebu kwanza kabla hatuja endelea fafanua think tank ni nini na kazi yake ni nini. Kisha tueleza kama kuwa think tank ni moja ya majukumu ya kanisa.


Kilichonifanya nijiulize suala hili ni hili la Waraka wa wakatoliki. Kwa kweli vibaraka wote Kanisa hili mara baada ya kuutoa walimuuliza waziri mkuu, na kuupenyeza Bungeni ujadiliwe, walimuuliza shehe mkuu wa Bakwata na watu mbalimbali ikiwemo hapa jamvini.


Umetoa accusations kadhaa. Toa ushahidi please.


Lakini waandishi hao hao sijaona hata sehemu moja wakimuhoji Askofu mkuu wa KKKT askofu Malasusa au Askofu mkuu wa Anglicana Dr Mokiwa.


Inawezekana hawakutaka kutoa maoni. Wangeingilia kati wengine mgekua na mengine ya kusema.


Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.


Mh hapa please toa statistics mkuu. Haya mambo ya "tunajua wazi" lakini hakuna supporting evidence yame pitwa na wakati.


Suala langu kuwa je wakatoliki ndio think tank ya wakristo wote hapa Tanzania?

Narudia kuuliza tena. Hebu fafanua think tank ni nini na kazi yake ni nini. Kisha sema kama ni jukumu la kanisa kuwa think tank.

Asante...
 
Wakatoliki wana WASOMI wengi na well organised kuliko watu wa madhehebu mengine. Walutheri wao shughuli yao kubwa ni kusaka pesa na utajiri kwa namna yoyote ile. Sehemu kubwa ya matajiri wazawa ni Walutheri. Akina Mengi, EL, FTS,...
 
Hapa ningependa kujuwa kama Wakatoliki hapa Tanzania ndio Think Tank ya madhehebu yote ya wakristo hapa Tanzania.

Kilichonifanya nijiulize suala hili ni hili la Waraka wa wakatoliki. Kwa kweli vibaraka wote Kanisa hili mara baada ya kuutoa walimuuliza waziri mkuu, na kuupenyeza Bungeni ujadiliwe, walimuuliza shehe mkuu wa Bakwata na watu mbalimbali ikiwemo hapa jamvini.

Tumeona kila aliyediriki kuupinga alitukanwa na kukashifiwa sana mf Mzee Kingunge, Kakobe na wengine.

Lakini waandishi hao hao sijaona hata sehemu moja wakimuhoji Askofu mkuu wa KKKT askofu Malasusa au Askofu mkuu wa Anglicana Dr Mokiwa.

Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.

Suala langu kuwa je wakatoliki ndio think tank ya wakristo wote hapa Tanzania?

Ndugu yangu HM Hafif,
Hivi kweli unaweza kufikiri mambo mengine muhimu nje ya box la dini na udini?! Nimelazimika kuuliza swali hili kwa sababu naona threads zote unazoanzisha ni kuhusu dini tu! Na mbaya zaidi unaziweka hapa kwenye jukwaa la siasa ambako watu wenye upeo mzuri wanajadili mambo muhimu ya mustakabali wa nchi kisiasa na kiuchumi. I really don't understand why you keep doing this? I believe there's a proper forum for such kind of nonsense. Thread kama hii isiyo na mashiko haina nafasi hapa JF....unaposema Katoliki ni think tank kwa sababu wametoa waraka....ina maana ni sawa kusema sheikh Punda na wenzie ndio think tank ya waislamu wote bongo kwa sababu wametoa waraka wa waislamu! BS!
 
Kiongozi,


Sina uhakika na efficiency ya hizi solutions 2. Labda nieleze ninavyoona.

Unajua watu tunapoketi kujibizana na akina Barubaru na kundi lake, na hoja zao, ni wakati huohuo tunapoteza makali ya JF ya kukata ishu. Kukata ishu kwetu ndiko kulikoi-define JF na mpaka serikalini inafahamika hivyo. Tukiendelea na hizi petty discussions za hawa ndugu ni jambo zuri, lakini ndivyo hivyohivyo tuna-divert efforts from main issues. Issues ambazo zinatujenga na zipo dynamic kuelekea mabadiliko.
Elewa kuwa upo kwenye black list yangu. Sasa jaribu sana kujibu hoja na si kuparamia watu.
 
Some of these issues could easily toxicate our minds. Those who want to continue dwelling on them, all the best. What I know wa mbili havai moja.
 
Hafif,

..msimamo wa Askofu Mokiwa kuhusu Waraka wa Kanisa Katoliki unaonekana kwenye makala hii hapa chini.

..Askofu Mokiwa alieleza kwamba Waanglikana nao wataandaa Waraka wao kuelekea uchaguzi.

..huenda waraka huo bado uko "jikoni", au kutolewa kwake kumesitishwa kwa kuzingatia rai ya Raisi Kikwete.

Askofu Mokiwa amvaa Kingunge


na Makuburi Ally


amka2.gif
KAULI za kubeza waraka wa Kanisa Katoliki alizozitoa mwanasiasa mkongwe nchini na Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Kingunge Ngombale-Mwiru, zimeendelea kuwa mwiba baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana nchini, Dk. Valentino Mokiwa, kumtaka kiongozi huyo akaombewe ili awe na uwezo wa kuuelewa waraka huo.
Akizungumza na waandishi wa habari juzi wakati alipotembelea Jumuiya ya Mtakatifu Marko na nyingine zilizoko Mbezi, jijini Dar es Salaam, Askofu Mokiwa alisema Kingunge anadhani CCM ni dini jambo ambalo linamfanya awe mbinafsi na kuupinga waraka huo bila sababu za msingi.
Huku akishangiliwa na umati wa waumini wa jumuiya hizo, Dk. Mokiwa alisema Kingunge hakupaswa kutoa kauli ya kupinga waraka huo kwani anaweza kushusha hadhi na heshima yake aliyoijenga tangu wakati wa utawala wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere.
Dk. Mokiwa alisema kauli za Kingunge, zitakigharimu chama chake anachokiwakilisha bungeni na kuwataka wanachama wenzake kutambua kuwa mkongwe huyo wa siasa nchini, ndiye mchawi wa chama chao.
"Kingunge vita aliyoianzisha na kutaka kuendesha malumbano na kuwatusi viongozi wa dini, itakigharimu chama chake kwani anaonekana hana jipya na amepoteza mwelekeo," alisema.
Alisema waumini wa Kikristo ni watulivu, ndiyo maana huwezi kusikia viongozi wa dini wakigombana na kumtaka Kingunge kuacha malumbano hayo mara moja.
Askofu Mokiwa, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) na Rais wa Jumuiya ya Makanisa Afrika, alisema serikali haiwezi kuwanyang'anya viongozi wa dini haki ya kuandaa waraka kama huo wa Kanisa Katoliki na kwamba hata kanisa lake, litaandaa waraka wa aina hiyo.
Alisema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeweka masuala yake vizuri na viongozi wa dini wanafanya nao kazi kwa njia ya utume ili kufikisha ujumbe kwa jamii bila matatizo.
Katika hafla hiyo, Askofu Mokiwa, alikabidhi vikombe vya kufanya kazi ya dini kwa ufanisi ambako mshindi wa kwanza ilikuwa ni Jumuiya ya Padri na wa pili walikuwa ni Jumuiya ya Mtakatifu Mariamu ambako pia walikabidhiwa vyeti.
Pia waamini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mbezi, walimzawadia Askofu Mokiwa picha kubwa ya ukutani, mbuzi wawili na pesa taslimu.
Mokiwa alitoa wito kwa dhehebu lake kukaribisha waamini wa madhehebu mengine kujiunga na kanisa hilo ili waende pamoja na kupeana misaada mbalimbali ya kimaisha.
 
Hapa ningependa kujuwa kama Wakatoliki hapa Tanzania ndio Think Tank ya madhehebu yote ya wakristo hapa Tanzania.

Kilichonifanya nijiulize suala hili ni hili la Waraka wa wakatoliki. Kwa kweli vibaraka wote Kanisa hili mara baada ya kuutoa walimuuliza waziri mkuu, na kuupenyeza Bungeni ujadiliwe, walimuuliza shehe mkuu wa Bakwata na watu mbalimbali ikiwemo hapa jamvini.

Tumeona kila aliyediriki kuupinga alitukanwa na kukashifiwa sana mf Mzee Kingunge, Kakobe na wengine.

Lakini waandishi hao hao sijaona hata sehemu moja wakimuhoji Askofu mkuu wa KKKT askofu Malasusa au Askofu mkuu wa Anglicana Dr Mokiwa.

Kwani tunajuwa wazi kuwa KKKT ni wengi sana kulinganisha na wakatoliki hapa Tanzania. Na ukisoma wengi wananasibisha kuwa waraka huo ni wa wakristo na sio wakatoliki.

Suala langu kuwa je wakatoliki ndio think tank ya wakristo wote hapa Tanzania?

Rudini Shule Wakuu wangu, Kujua kwenu Kusoma na Kuandika Kiarabu peke yake bila Elimu Dunia ndiyo sababu inayowafanya mnashindwa kuangalia Mambo katika Uhalisia wake. Hapo dawa yake siyo ku deal na Wakatoliki bali ni kukata Shule tu vinginevyo kila siku mtabakia kuwa Low Minded people! Hivi hushangai mkuu top twenty schools karibia zote ni za Wakristo na shule kumi za Mwisho karibia zote ni za Waislamu ( Akina Maawali tanga kila siku wanakuwa wa Mwisho). Ni lazima muelimike ili muweze kujikomboa. Narudia tena Elimu ya Madrasa ndiyo inazalisha watu kama akina Barubaru eti Doctor sishangai kwa sababu Madrasa na yenyewe inaitwa CHUO
 
Hafif,

..Askofu Malasusa aliwahi kuhojiwa na akaeleza kwamba anaunga mkono Waraka wa Wakatoliki, na kuwabeza wale wanaoupinga kuwa huenda ni mafisadi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom