Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,781
- 59,148
Aaah wapi! Penzi halina mitishamba bana. Kwanza uchawi haupo. Kama upo basi nawapa rukhsa hao wachawi waniloge tuone kitakachotokea.
Upo sana....ningekua mshirika ningekufanyia jaribio uone maajabu!!!