Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
JE WAJUA.??? NYANYA NA VIAZI
Leo nikiwa Kwenye maktaba ya Nyumbani nikawa najaribu kuchimba kujua asili ya baadhi ya viungo vya vyakula vyetu Kama nyanya, vitunguu, biringanya, hoho Na vinginevyo manake sijawahi kuvisoma kwenye Historia ya kawaida kuhusu asili ya mazao hayo
Nikagundua Nyanya ni kijizao tu ambacho juzijuzi miaka ya 1650 ndipo kimeanza kutumika Kama chakula, Na mwaka 1696 ndipo Kitabu Cha kwanza cha mapishi Kwa kutumia nyanya kilipovumbuliwa, lakini zao Hili lilivumbuliwa tokea miaka 500 kabla ya KRISTO Na wanajimu wa Uganga. Nyanya ikawa inatumika Kwenye makafara Na matambiko(divination) wakiamini ukila nyanya ni Kama umekula Damu inakutia nguvu Za kiroho kuwasiliana Na miungu.. So those time nyanya ilipandwa Kwa nasibu Na waganga wachache sana Kama zao mbadala la Damu. Mtu wa kawaida huwezi hata kuiona nyanya licha ya kuila,
mtabibu Wa madawa ya mimea huko Ulaya Dr Pietro Andrea, akagundua nyanya Ina uwezo wa kutibu baadhi ya magonjwa Kama Athma ambayo ilikuwa tatizo Ulaya kutokana Na msongano Wa Makazi ya watu Na mabadilishano ya Hewa.
Taratibu nyanya ikapata kupenya Na kuanza kulimwa Na mwanzoni watu waliitumia Kama protective food Kwa magonjwa ya hewa Kama kukohoa, Athma Na MENGINEYO Na hatimae kizazi kilichofuata wakarithi mapishi hadi Leo hii twala tu..
Athari kubwa ya NYANYA Na VIAZI ni uwepo Wa sumu inayoitwa SOLANINE[C15H73NO15] ambayo ni hatari Kwa mwanadamu.. Sumu hiyo ambayo hutengenezwa Na mimea hiyo hufanya ulinzi juu ya mashambulizi ya wadudu Na wanyama wasiokula majani.. Labda kitu Cha kujiuliza kwanini predators Kama simba,mbwa nk hawali mbogamboga, ni Kwa sababu ya uwepo Wa sumu harufu kama solanine ambayo kwao ni Kama mwanadam kunusa kinyesi..sumu hiyo ambayo hupatikana Kwa wingi Kwenye nyanya Na VIAZI huleta madhara Kwa mwanadamu.
Solanine wataalam hawa wanasema inaua seli Za mwili, Na dalili zake Kuu ni kichefuchefu, kuumwa tumbo au kichwa, kukosa ham au ladha ya chakula, kuharisha, matatizo ya Uzazi (kushindwa kujifungua Kwa njia ya kawaida), unene, uchovu, kulala Na hatimae KANSA..
Mabandiko yanasema Kwenye seli ya mwanadam kuna chambehai inayoitwa mitochondria, chembehai hii ndio mlinzi mkuu wa seli, ndio itoayo kemikali Za kuikuza seli na ndio nguvu ya uwepo wa seli Za wanadamu, Wanasema mwili hutoa kemikali kupambana Na magonjwa, Sasa kemikali hizi huzalishwa Na mitochondria. Wanasema Sumu ya Solanine huingia kwenye wajenzi Wa kemikali Kwenye mitochondria ambao ni potassium potential Na kuhamisha Ca2+ kuwa Maji Kwenye process inayoitwa opoptosis Na kuangamiza seli yote.. Kimsingi Kwa makuzi ya binaadam opoptosis process huua seli Kati ya billioni 30-70 Kwa siku Kwa watu wazima ilihali opoptosis Kwa Watoto 8-14 years huua seli billioni 20 kwa siku. Sasa Solanine huongeza maangamizi ya seli Kwa opoptosis Na Kufanya baadhi ya tishu Kufa Na kuzua sehemu ya mwili kupoteza uhai(Kansa).
Kansa inapotibiwa Kwa mionzi (irradiation) huua seli Ilizoathirika ili kujaribu kusimamisha zoezi la opoptosis.
Kwa maana hiyo ulaji sana wa nyanya Na VIAZI hasa Kwenye michips yenu hiyo angalia sana.. Watu wa vijijini hula fresh food, ni nadra sana kupata magonjwa hasa matatizo ya kujifungua au kansa.. Watu wa mijini hutumia sana nyanya Kwenye takriban milo yote Na VIAZI ..
Ushauri wangu Adui number moja wa Mtu ni msosi.. FUNGA..!!
Leo nikiwa Kwenye maktaba ya Nyumbani nikawa najaribu kuchimba kujua asili ya baadhi ya viungo vya vyakula vyetu Kama nyanya, vitunguu, biringanya, hoho Na vinginevyo manake sijawahi kuvisoma kwenye Historia ya kawaida kuhusu asili ya mazao hayo
Nikagundua Nyanya ni kijizao tu ambacho juzijuzi miaka ya 1650 ndipo kimeanza kutumika Kama chakula, Na mwaka 1696 ndipo Kitabu Cha kwanza cha mapishi Kwa kutumia nyanya kilipovumbuliwa, lakini zao Hili lilivumbuliwa tokea miaka 500 kabla ya KRISTO Na wanajimu wa Uganga. Nyanya ikawa inatumika Kwenye makafara Na matambiko(divination) wakiamini ukila nyanya ni Kama umekula Damu inakutia nguvu Za kiroho kuwasiliana Na miungu.. So those time nyanya ilipandwa Kwa nasibu Na waganga wachache sana Kama zao mbadala la Damu. Mtu wa kawaida huwezi hata kuiona nyanya licha ya kuila,
mtabibu Wa madawa ya mimea huko Ulaya Dr Pietro Andrea, akagundua nyanya Ina uwezo wa kutibu baadhi ya magonjwa Kama Athma ambayo ilikuwa tatizo Ulaya kutokana Na msongano Wa Makazi ya watu Na mabadilishano ya Hewa.
Taratibu nyanya ikapata kupenya Na kuanza kulimwa Na mwanzoni watu waliitumia Kama protective food Kwa magonjwa ya hewa Kama kukohoa, Athma Na MENGINEYO Na hatimae kizazi kilichofuata wakarithi mapishi hadi Leo hii twala tu..
Athari kubwa ya NYANYA Na VIAZI ni uwepo Wa sumu inayoitwa SOLANINE[C15H73NO15] ambayo ni hatari Kwa mwanadamu.. Sumu hiyo ambayo hutengenezwa Na mimea hiyo hufanya ulinzi juu ya mashambulizi ya wadudu Na wanyama wasiokula majani.. Labda kitu Cha kujiuliza kwanini predators Kama simba,mbwa nk hawali mbogamboga, ni Kwa sababu ya uwepo Wa sumu harufu kama solanine ambayo kwao ni Kama mwanadam kunusa kinyesi..sumu hiyo ambayo hupatikana Kwa wingi Kwenye nyanya Na VIAZI huleta madhara Kwa mwanadamu.
Solanine wataalam hawa wanasema inaua seli Za mwili, Na dalili zake Kuu ni kichefuchefu, kuumwa tumbo au kichwa, kukosa ham au ladha ya chakula, kuharisha, matatizo ya Uzazi (kushindwa kujifungua Kwa njia ya kawaida), unene, uchovu, kulala Na hatimae KANSA..
Mabandiko yanasema Kwenye seli ya mwanadam kuna chambehai inayoitwa mitochondria, chembehai hii ndio mlinzi mkuu wa seli, ndio itoayo kemikali Za kuikuza seli na ndio nguvu ya uwepo wa seli Za wanadamu, Wanasema mwili hutoa kemikali kupambana Na magonjwa, Sasa kemikali hizi huzalishwa Na mitochondria. Wanasema Sumu ya Solanine huingia kwenye wajenzi Wa kemikali Kwenye mitochondria ambao ni potassium potential Na kuhamisha Ca2+ kuwa Maji Kwenye process inayoitwa opoptosis Na kuangamiza seli yote.. Kimsingi Kwa makuzi ya binaadam opoptosis process huua seli Kati ya billioni 30-70 Kwa siku Kwa watu wazima ilihali opoptosis Kwa Watoto 8-14 years huua seli billioni 20 kwa siku. Sasa Solanine huongeza maangamizi ya seli Kwa opoptosis Na Kufanya baadhi ya tishu Kufa Na kuzua sehemu ya mwili kupoteza uhai(Kansa).
Kansa inapotibiwa Kwa mionzi (irradiation) huua seli Ilizoathirika ili kujaribu kusimamisha zoezi la opoptosis.
Kwa maana hiyo ulaji sana wa nyanya Na VIAZI hasa Kwenye michips yenu hiyo angalia sana.. Watu wa vijijini hula fresh food, ni nadra sana kupata magonjwa hasa matatizo ya kujifungua au kansa.. Watu wa mijini hutumia sana nyanya Kwenye takriban milo yote Na VIAZI ..
Ushauri wangu Adui number moja wa Mtu ni msosi.. FUNGA..!!