Inaonekana ndo alichofanya hata akawa na kesi ya kujibu mahakamani kuhusu EPA. Inaonekana watanzania wote (zaidi ya 98%) tulikuwa mazezeta bila kujua kinachoendelea.Hivi Jeetu Patel ni muhindi? kama ni ndio inawezekana watanzania wote katugeuza mandondocha ili afanikiwe kibiashara.
Ha ha ha ha, umeniacha hoi sana, hivi tunaeza kuwa tumelogwa nini?
Ha ha ha ha, umeniacha hoi sana, hivi tunaeza kuwa tumelogwa nini?
Wahindi washirikina wa kutupwa, lakini ukiwa na imani dhabiti hawafui dafu.Shika sana imani yako na huwezi kusumbuliwa na chochote kile.
Mwaka jana nilienda India kwa shughuli zangu za kibiashara.
Katika tafuta tafuta mwenyeji wangu, mhindi,akanipeleka ofisi ya mchonga mawe niliyokuwa natafuta.
Ofisi hii ilikuwa inatisha kidogo na mwenye ofisi alikuwa na nywele nyingi sana na uso wa kutisha.
Mimi nilitikisika kidogo lakini baada ya muda nikamtazama directly usoni na kumkazia macho huyu mjamaa wa minywele.Nilijua hili ni zoezi la intimidation.
Huyu minywele baada ya kujibaraguza sana na tuka toka nje nikamuuluza una umri gani.Akajibu ooh mi mzee sana, bado nikamuulizia umri wake tena.
Akaniambia "I am ver ver oould, I am pipty yaz"
Nikacheka nikamwambia wewe bwana mdogo sana I am "pipty tu"
Jamaa akanywea na kuishiwa nguvu.
SOMO: hata wakiwa na uchawi, nguvu iliyomo ndani yako ni kubwa zaidi.
kwa nini uchawi umekuwa siri kali sana.........kwani kuna hasara gani kwa kila mtu kujua uchawi?