Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,704
Kwetu Iringa tunaweka Lutambulilo (tego), ukichomeka tu huchomoi mpaka nije mwenyewe. Hivyo hatuna wasi wasi wa kumegewa hata siku moja
Duuuuh!! Hiyo yenyewe hiyo...
Kwetu Iringa tunaweka Lutambulilo (tego), ukichomeka tu huchomoi mpaka nije mwenyewe. Hivyo hatuna wasi wasi wa kumegewa hata siku moja
Kuna baadhi ya dada wapo hivyo pia wanadhani mapenzi ni pesa....na ni lazima wanunuliwe gari, kujengewa nyumba na vikolombwezo vingine. Hawajui kama kunapokuwa na penzi la kweli Mwanaume anaweza kufanya ypte hayo bila hata kushinikizwa ali mradi tu mfuko wake unamruhusu.
Sio wote wanaofanya huo uchafu
Vipi kuhusu wababa kutenbea na housegirls; haiumi eeh?
Vipi kuhusu wanawake ambao hawafiki kileleni ( si kwa sababu hawajafikishwa na wanaume ) labda umri n:k, huyu atakuwa na mapenzi gani zaidi ya kuiga analoona wengine wanafanya?Kwani ukimgharamia mtu ndio nini?
Nyie ndo wale mnaodhani mapenzi yananunuliwa, mnachonunua ni mahusiano na sio mapenzi.Mapenzi ndo hayo wanapewa wasio hata na mawazo ya kujaribu kuhonga.
Ndoa sio nyumba magari na pesa,
Mwanaume hasifiwi pesa wala utajiri na mkewe,
Mwambie huyo mwanaume arejee mafundisho ya ndoa,aache kulalamika hovyo,
Hapo anajiabisha mwenyewe,kazi imemshinda vijana wanaonyesha ujuzi kwa mkewe.
...sababu inatokana na mtu anachokipata kutoka kwa Mume/mke/mpenzi wake in terms of love (romantic) and care...kama kina kidhi hakika hamna sababu ya ku cheat thats wahy wanao cheat woooote sababu kuu ni kuwa wanakosa vitu hivi muhimu kutoka kwa wapendwa wao..vionekanavyo kwa macho (mali na vinginevyo) ni vya ziada sana..Nini sababu ya mtu kucheat?
you can not substitute sex fr anything...kama mzee hamsugui ipasavyo atatoka tu...tuwre wabunifu na creative kitandai or else tutaibiwa wake kijinga