Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Ndoa sio nyumba magari na pesa,
Mwanaume hasifiwi pesa wala utajiri na mkewe,
Mwambie huyo mwanaume arejee mafundisho ya ndoa,aache kulalamika hovyo,
Hapo anajiabisha mwenyewe,kazi imemshinda vijana wanaonyesha ujuzi kwa mkewe.
Mwanaume hasifiwi pesa wala utajiri na mkewe,
Mwambie huyo mwanaume arejee mafundisho ya ndoa,aache kulalamika hovyo,
Hapo anajiabisha mwenyewe,kazi imemshinda vijana wanaonyesha ujuzi kwa mkewe.