HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Unamkuta mdada amegharimiwa kila kitu na mpenziwe au mumewe; Nyumba, gari, vifaa vya ndani, pesa za matumizi ukaribu na maufundi ya kila aina. Kesho keshokutwa unamkuta anatembea na house boy au Dereva wake au pengine hata mchota maji au mfyeka nyasi wa nyumbani,
Mna nini jamani?
Hii imetokea mtaani kwetu jana tu!!
Mna nini jamani?
Hii imetokea mtaani kwetu jana tu!!