TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wanabodi,baada ya Waziri mkuu kusema serikali itaendelea kutumia sheria iliyopo ya habari bila kufanyia mabadiliko,sasa naomba kuuliza je wanahabari hawawezi kushinikiza kwa kususia kuandika habari za upande kandamizi? Eg.kususia Daily news,uhuru,habari leo,na mengine yafananayo.