Mwanahisa
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,382
- 510
Kwa wanauchumi, mnajua mchango wa usafiri wa Anga kwa uchumi wa nchi zetu,
Chakustajabisha, Kiwanja cha JKNIA ndio kwanza kazi yakuvusha unga inashamiri ambayo haina tija kwa taifa.
Mbona mambo ya msingi yasifanyike kama kuongeza miundombinu ya kisasa zaidi, ulinzi ikiwa kipaumbele?
Huo wa KIA nao, ni kupakia wanyama wetu wa asili, wakati jirani hapo Kenya anajenga uwanja mpakani TAVETA ili watalii washukie hapo waende mlima KIlimanjaro, Kukwepa adha za umeme kukatika na jenereta kukosa mafuta.
Huko jirani halali, Jomo Kenyatta IA wanaongeza terminal ya Greenfield, hapa nyumbani tunakazana na tender za kuchakachua nani apewe contract ya kupanua uwanja! na tuko kwenye jumuia ya Afrika mashariki kwa mwendo huu?
Chakustajabisha, Kiwanja cha JKNIA ndio kwanza kazi yakuvusha unga inashamiri ambayo haina tija kwa taifa.
Mbona mambo ya msingi yasifanyike kama kuongeza miundombinu ya kisasa zaidi, ulinzi ikiwa kipaumbele?
Huo wa KIA nao, ni kupakia wanyama wetu wa asili, wakati jirani hapo Kenya anajenga uwanja mpakani TAVETA ili watalii washukie hapo waende mlima KIlimanjaro, Kukwepa adha za umeme kukatika na jenereta kukosa mafuta.
Huko jirani halali, Jomo Kenyatta IA wanaongeza terminal ya Greenfield, hapa nyumbani tunakazana na tender za kuchakachua nani apewe contract ya kupanua uwanja! na tuko kwenye jumuia ya Afrika mashariki kwa mwendo huu?