Kuuliza si ujinga anayeuliza anataka kujua..
Ndugu wanajamvi, hoja na mchakato wa vazi la taifa umefikia wapi? What is the status...?
wana JF ebu leo tujadili kuhusu vazi la taifa!Litapatikana lini?
Kamati/Tume ya vazi la Taifa inafanya warsha,makongamano,semeni elekezi ya vazi la taifa lakini mpaka leo hawajafikia muafaka wa vazi la taifa!!
My take! Napendekeza Gwanda la CHADEMA liwe vazi la taifa.
wana JF ebu leo tujadili kuhusu vazi la taifa!Litapatikana lini?
Kamati/Tume ya vazi la Taifa inafanya warsha,makongamano,semeni elekezi ya vazi la taifa lakini mpaka leo hawajafikia muafaka wa vazi la taifa!!
My take! Napendekeza Gwanda la CHADEMA liwe vazi la taifa.
Mwandishi mmoja TZ DAIMA ALIJITOA MAPEMA,NA KAMA UNAVYOJUA BILA YA CDM HAMNA KINACHOFANYKIA!wana JF ebu leo tujadili kuhusu vazi la taifa!Litapatikana lini?
Kamati/Tume ya vazi la Taifa inafanya warsha,makongamano,semeni elekezi ya vazi la taifa lakini mpaka leo hawajafikia muafaka wa vazi la taifa!!
My take! Napendekeza Gwanda la CHADEMA liwe vazi la taifa.