Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,241
Nyooooooooo.....k.......mmmmh..
Nyoooka.
Kweli Kimbweka,
Me bado ni Bikira kabisa.
Nyooooooooo.....k.......mmmmh..
Mmmh, kizazi cha dot.com!
Mwaka huu lazima uwe paka mweupe!
Si umuache, kwanini unamng'ang'ania sasa!
Nyoooka.
Kweli Kimbweka,
Me bado ni Bikira kabisa.
bikira maria au?
Nyoooka.
Kweli Kimbweka,
Me bado ni Bikira kabisa.
Wenye nazo hawajitangazii......
Maana hawajijui......hahahahaha.....!!!
Bikira,
Means a Virgin Girl,
Sijawahi kuguswa na Mwanaume kabisa.
bikira maria au?
Wenye nazo hawajitangazii......
Maana hawajijui......hahahahaha.....!!!
kweli kabisa, waweza sema unayo kumbe hujazaliwa nayo.
Madame B uctudanganye.
acha kutudanganya, ina maana hata walimu wako wa shule hawajawahi kukugusa? Ina maana hata vibao hawajakuchapa?
Huwez amini,
Cjaguswa na mtu yoyote yule,
na hata vibao hawajanikong'ori.
Sijui kwa nini wanakubishia wangu?
Wakati wewe ndio unajua ukweli na umeongea ukweli mtupu!
kwenye siasa ni wengi tu ninawachukia....
personally ni wengi tu nina hasira nao...
Mimi kwa upande wangu nishawahi kumchukia mmama mmoja ambaye alikuwa analeta maneno ya uongo kwa mama yangu, kuwa kijino anawanaume ni malaya, kipindi hicho nipo form 1 hata wanaume cwajui, yani nilimchukia, ckuongea naye mpaka anafariki, na hata kwenye mcba ckuenda, ingawa alikuwa ni family friend, ingawa kuna wengine bado nawachukia mno, vp wewe mwana jf, kuna mtu unayemchukia mno?
mimi sio mtu wa kumchukia mtu kiurahisi, lakini katika maisha yangu yote kuna mtu mmoja tu hapa duniani namchukia na nimekua namchukia kwa zaidi ya miaka 10 na wakati mwingine hua namuota(nightmare) kuhusu yeye nimejaribu kusali nimsamehe lakini nimeshindwa.
Heh! Kwani mfano pekee uliouona ni wa mwanga? Hakuna mwingine?
Naunga mkono hoja