Hivi unyanyasaji wa kijinsia makazini utaisha kweli?

Si aende TAKUKURU AMBAO WANAPAMBANA NA RUSHWA NA KWA KUWA AMEREKODI ITAMSAIDIA ILA AI STORE KWENYE SEHEMU TOFAUTI TOFAUTI NYINGI MAANA KWENYE SIMU PEKE YAKE INAWEZA POTEA KIRAHISI HUO USHAIDI
 
Ushauri wangu amtafute mkewe, then amsimulie yote na a play hiyo record. Kama anamuheshimu mkewe basi mke huyo atakuwa mlinzi wa ajira ya huyu binti. Nasema hivyo kwani nadhani ushahidi wa sauti aukubaliwi kwenye mahakama zetu. (may be hakuna device ya ku detect sauti hii ni ya nani) Ila mkewe atadetect tu piga ua.

nyumba kubwa
 
Kuna dada mmoja anaefanya kazi ofisi ya jirani ambaye huna tunakutana wakati wa kula na tumezoeana nae na hula pamoja na kupiga stori za hapa na pale.Juzi kaja akiwa mnyonge sana nikamuuliza vipi mbona umepooza sana leo akasema we acha tu sisi watoto wakike tuna mitihani mikubwa sana humu makazini.Anasema bosi wake amekuwa akimsumbua kwa muda mrefu eti anamtaka kimapenzi,huyo bosi kaoa na ana watoto wakubwa tu.Mara hii ya mwisho bosi kasema asipopata majibu mazuri hali yake pale kazini itaharibika na akikubali ataongezewa mshahara na marupurupu mengine kibao.Mara hii ya mwisho alipoitwa ofisini alihisi suala hilo litazungumzwa kwa hiyo akajifanya anachezea simu bosi alipokuwa anaongea pumba zake akarekodi yale mazungumzo anasema apeleka wapi ili hatua zichukuliwe?
hii ni rushwaa ya ngono...kwa kuwaa alishaa mkataliaa na ka mrecords,anawezaa akaendaa takukuru wakamchezeaa mchezo huyo boss mkware then waka mkamata na kumfungulia mastakaa.
 
Yule dada juzi kamkabili bosi na kumsikilizisha ile recording na kumwambia kopi ya recording kaihifadhi kwa wakili mmoja,bosi kawa mpole ghafla na kuomba afute recording zote na atampa fidia ya milioni moja yaishe na hatamsumbua tena.Dada amejibu hatafuta recording yeyote na haitaji milioni yake anachohitaji ni amani kazini na zile recordings ataendelea kuwa nazo ili zimlinde.
 
Back
Top Bottom