Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,821
kuingilia mapenzi ya watu aisee ni ngumu,na ctaweza kabisa! hata hivyo analalama tu lakini karidhika mana ni wachumba kwa 3yrs na cku zote anamuhudumia kwa hilo Kaizer....
hahaha , miaka mitatu uchumba gani huo au ndo 'uchumba sugu' umeshakuwa? kwa nini wasichukuane kijumla kama wameshibana ki ivyo? mark my words uchumba unaweza kuishia 'hewani'.....mi kwangu hiyo ingekuwa kero namba moja...honestly huwa anampigia nani hasa kama mi niliuetia hela naishia kubipiwa, usinambie inatumika kikazi...lol