Hivi unamwitaje mumeo/mkeo?

Naipenda ya kizaramu, mume wangu kila mara mume wangu yaani hili neno halinitoki nikiwa nae karibu. nikiwa faragha ndio usiseme hapo kidogo unaweza fanya re mix
 
La aziz, mahbooba, napenda wizi wa aina hii mpenzi wangu yaani majina yooote ya kiswahiliswahili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom