Hivi unamwitaje mumeo/mkeo?

umenifurahisha sana kuna mshkaji alikuwa amemsevu wifu wake kwenye simu 'Guantanamo'

ha ha ha ha,mkewe atakuwa mkali/mnoko sana eeehhh? mi nafikiri ndoa ingekuwa matatani.......:twitch::twitch::twitch:
 
ha ha ha ha,mkewe atakuwa mkali/mnoko sana eeehhh? mi nafikiri ndoa ingekuwa matatani.......:twitch::twitch::twitch:

huyo wife ni noumer! maswali kama judge,anamonitor ile wacha, kama ni kukaba hadi penalt! but hata mimi nilihisi wife hawezi kuwa hivyo bila sababu, kuna vitu ambavo anaviona from husband vinampelekea yeye kuwa mkali,by the way angekuwa huyo muwe ni wangu ameniserve hivyo pangechimbika... lol
 
Sijaoa. Lakini that's a good question. Itanibidi niwe creative kidogo....mmnnnhhhh, nadhani nitamwita Bonita!!
 
huyo wife ni noumer! maswali kama judge,anamonitor ile wacha, kama ni kukaba hadi penalt! but hata mimi nilihisi wife hawezi kuwa hivyo bila sababu, kuna vitu ambavo anaviona from husband vinampelekea yeye kuwa mkali,by the way angekuwa huyo muwe ni wangu ameniserve hivyo pangechimbika... lol

Mimi pangechimbika na mmoja wetu ingebidi tu afukiwe.....l.o.l
ila huyo kazidi,utambanaje mwanaume hivyo?ila huwezi jua pengine kicheche....hawa sio kabisa!!!
 
sijaolewa bado,namuita Lollypop

Ha!! Michelle we ndiye umeweka avatar ya hivi?!!! Yaani umenipoteza vibaya, mda mrefu kweli nilikuwa nakutafuta sikuoni... lione kwanza... lol.
 
Katika mazingira ya kawaida... Wapo watu wa aina na umri tofauti, wazazi, au wakwe, au watoto, au wageni, au jirani. Nyumbani, au ofisini, au ugenini au pengine popote.

Hivi unamwitaje mumeo/mkeo?

Je unamwita jina lake, au baba/mama fulani? Au dadii.. au mamii.. au wewee...
N aunapenda mwenzio akuiteje?

Hapa naongelea unapomwita direct, sio unapomwaddress au kumuulizia kwa mtu.


dadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,
 
wangu ananiita "D", sasa tatizo ni kuwa mtoto wetu naye sometimes ananiita "D" kwa kumuiga mamake! Anyways, mimi namuita Zaika au Zajes!
 
ingawa sijawahi kuoa ila ukimwita kwa jina lake itapendeza kwani kumwita mama nanii kama unamzeesha vileee...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom