Hivi unajua M4C ni nini?

Kwa muda mrefu sasa CHADEMA imekuwa inahamasisha washabiki/wapenzi wake kujiunga na M4C, au Movement For Change (kwa kiingereza). Wakati mwingine wanaona kwamba jambo lao fulani limefanikiwa, basi ni kutokana na nguvu ya M4C, na kadhalika, na kadhalika......... Baada ya kuambiwa kuwa huko Uingereza (UK) kuna chama kinachoitwa Movement for Change ambacho pia kinatumia kifupisho cha M4C nikashawishika kuona kama kuna uhusiano wowote na CHADEMA.

Baada ya kusoma tovuti yao (Movement for Change | Home), sioni uhusiano wa moja kwa moja zaidi ya ku-copy jina la chama cha wazungu hao. Swali langu, je CHADEMA wameanzisha M4C yao wakiwa wanajua haya? Kama ndivyo, najua kuwa CHADEMA ina uhusiano fulani na chama cha Conservertive cha Uingereza, lakini M4C hiyo ya Waingereza ina mahusiano na chama cha Labour cha Uingereza! Hapa pana nini? Jina la jinsi hii si sawa na Athmani au Jane ambalo mtu unaweza kujiita pamoja na kujua kuwa wapo wengine wenye jina hilo. CHADEMA watufafanulie hili!

Kwi kwi kwi teh teh teh
 
Kama hii ndiyo Lugha nyepesi, basi kazi ipo.
Nafurahi kufahamu juu ya solitons na jinsi zinavyofanya kazi!
Kuna build up ya taratibu sana ya nguvu ndani ya jamii ambapo wenye madaraka hawaioni maana macho yao yamefumbwa, ufahamu wao umeenda hibernation kwa muda hadi kazi hii nzito ikamilike.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Tupatie namba na sisi wanaccm tuwasiliane nae aturekebishie mambo.

Unahitaji namba ya yule anayetoa nguvu na mawazo ya ki-solitons siyo? Ni rahisi tu naye hata ukibip anakupigia....Ni Jeremia 33:3 mwenye namba hii anasema hivi: ‘Call to Me, and I will answer you, and show you great and mighty things, which you do not know.
 
Kwi kwi kwi teh teh teh

Kuna tofauti kati ya jina la kitu na vitu vinavyoitwa kwa luga ya wenzetu iliyo pana zaidi ya hii ya kikwetu....Ningekuandikia kigiriki kuwa specific zaidi lakini acha nitumie luga ya pili iliyo rasmi nchini kwetu; yaani Context na concept.

Kama wewe ulijiunga siku nyingi hapa kati ya 2007 and 2010 kuna ID ilikuwa inatoa mwelekeo wa mambo na how to go about; ama unaweza kutafuta kati ya nyuzi mbali mabli huu uzi unaoenda kwa jina hili....The concept of national consciousness and its link to peoples power! CHADEMA wamefanikiwa kuielewa hii concept na kwasababu behind it kuna power to effect change walipong'amua nakuji align wamefika hapo walipo.....It was given free and public CCM kama kawaida yao wakaona haiwa husu.....Bahati mbaya ile ID yangu ilikuwa banned forlife lakini neno la Mungu (katika imani yangu) lina sema hivi hata iweje neno lake haliwezi dondoka lika rudi tupu bila kuleta lile kusudia lilotumwa kulifanya!

Hata wote wakikata tamaa mimi nitasimama na nguvu ninayoiamini katika kuleta mabadiliko chanya bila kujali demokrasia ya wengi inasemaje kwasababu, sababu ninayo, nia ninayo na nguvu ya kufanya hivyo ipo ndani mwangu.....You are not forced to believe or to join kwani si kila chembe ina character ya solitons if it does not matter you; you have a free will to choose to believe and act the way you like!
 
Kuna tofauti kati ya jina la kitu na vitu vinavyoitwa kwa luga ya wenzetu iliyo pana zaidi ya hii ya kikwetu....Ningekuandikia kigiriki kuwa specific zaidi lakini acha nitumie luga ya pili iliyo rasmi nchini kwetu; yaani Context na concept.

Kama wewe ulijiunga siku nyingi hapa kati ya 2007 and 2010 kuna ID ilikuwa inatoa mwelekeo wa mambo na how to go about; ama unaweza kutafuta kati ya nyuzi mbali mabli huu uzi unaoenda kwa jina hili....The concept of national consciousness and its link to peoples power! CHADEMA wamefanikiwa kuielewa hii concept na kwasababu behind it kuna power to effect change walipong'amua nakuji align wamefika hapo walipo.....It was given free and public CCM kama kawaida yao wakaona haiwa husu.....Bahati mbaya ile ID yangu ilikuwa banned forlife lakini neno la Mungu (katika imani yangu) lina sema hivi hata iweje neno lake haliwezi dondoka lika rudi tupu bila kuleta lile kusudia lilotumwa kulifanya!

Hata wote wakikata tamaa mimi nitasimama na nguvu ninayoiamini katika kuleta mabadiliko chanya bila kujali demokrasia ya wengi inasemaje kwasababu, sababu ninayo, nia ninayo na nguvu ya kufanya hivyo ipo ndani mwangu.....You are not forced to believe or to join kwani si kila chembe ina character ya solitons if it does not matter you; you have a free will to choose to believe and act the way you like!

Naona pumba nyingi lakini mchele haujauchambuwa! hiyo post hujaisoma wala hutaki kuelewa kuwa M4C ni renaissance, sijui kwa uelewa wako kama unaelewa ni dudu gani hilo.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Naona pumba nyingi lakini mchele haujauchambuwa! hiyo post hujaisoma wala hutaki kuelewa kuwa M4C ni renaissance, sijui kwa uelewa wako kama unaelewa ni dudu gani hilo.


Hata pumba ni chakula kwa mifugo japo mwanadamu hawezi kuzila jinsi zilivyo lakini anakula mifugo inayonenepeshwa na hizo hizo pumba! Kwahiyo mchele na pumba vyote ni vyakula! Usijali mfaidika wa kwanza wa M4C ni wewe ambaye bado hujajitambua! Subiri hizi pumba zinenepeshe mifugo ambayo itakuwa kitoweo kwako....Best wishes!
 
Hata pumba ni chakula kwa mifugo japo mwanadamu hawezi kuzila jinsi zilivyo lakini anakula mifugo inayonenepeshwa na hizo hizo pumba! Kwahiyo mchele na pumba vyote ni vyakula! Usijali mfaidika wa kwanza wa M4C ni wewe ambaye bado hujajitambua! Subiri hizi pumba zinenepeshe mifugo ambayo itakuwa kitoweo kwako....Best wishes!

Wanaofaidika siyo wanaozikopa kujengea majumba "mchumba" na wanaokwenda na mashangingi zaidi ya moja (mengine escort) kwenye M4C?

Ingawa maswala yaliyomo katika post ile imeyapiga kibega chenga na kujifanya huyaoni, si kitu, najuwa si rahisi kuujibu ukweli wa maana halisi ya M46, si wewe tu, hakuna mwanachadema yeyote aliyethubutu kupinga au kujibu hayo, hata Makene anayaogopa kama ukoma.

Sikisii!
 
Wanaofaidika siyo wanaozikopa kujengea majumba "mchumba" na wanaokwenda na mashangingi zaidi ya moja (mengine escort) kwenye M4C?

Ingawa maswala yaliyomo katika post ile imeyapiga kibega chenga na kujifanya huyaoni, si kitu, najuwa si rahisi kuujibu ukweli wa maana halisi ya M46, si wewe tu, hakuna mwanachadema yeyote aliyethubutu kupinga au kujibu hayo, hata Makene anayaogopa kama ukoma.

Sikisii!

Inaelekea wewe mdini sana eeh! Ni vyema lakini kama hata hiyo dini haiwezi kukusaidia kuwa na nguvu ya kubadili jambo ya kazi gani basi? Siamini katika dini yoyote lakini imani yangu iko katika Mungu aliye hai ambaye anaweza geuza jana ikawa leo na wote tukawa wa jana hata kama tuliiona leo! Haihitaji nguvu kukulazimisha kuamini ninacho kwambia bali macho na ubongo wako utakusaidia kukwambia utakapo ona manifestation ya haya ninayokueleza (It does not matter wether you call them nguvu ya kanisa ama kitu gani swala ni kuwa M4C ipo na itachange hii status quo penda ama usipende) na kama unadhani ww una nguvu ya kuyazuia then go ahead! Maswali mengi ya nini?
 
...sijasoma michango ya waliotangulia!

Pointi yangu ni hii. Kwanin M4C Inakua na mashiko.. Sababu ni hizi...

CHADEMA na M4C yao wanatumia nguvu DHAIFU inayozagaa mtaani ambayo wala haijui kesho yake... Hii NGUVU=WATU... na ina watu wa kila aina.. Uneducated poor,Educated poor,. Educated Unemployed... Retired with dark future... Vagabonds... Frustrated and Disapointed masses who makes 70 to 80 percent of TANZANIANS..

All these groups .. Mistakenly wish that CHADEMA will do..

Poor US.!!
 
Hivi ile ya Nape kuhuisha chama ilikuw inaitwaje????? Magamba acheni mchecheto na M4C!!!!
 
Kwa muda mrefu sasa CHADEMA imekuwa inahamasisha washabiki/wapenzi wake kujiunga na M4C, au Movement For Change (kwa kiingereza). Wakati mwingine wanaona kwamba jambo lao fulani limefanikiwa, basi ni kutokana na nguvu ya M4C, na kadhalika, na kadhalika......... Baada ya kuambiwa kuwa huko Uingereza (UK) kuna chama kinachoitwa Movement for Change ambacho pia kinatumia kifupisho cha M4C nikashawishika kuona kama kuna uhusiano wowote na CHADEMA.

Baada ya kusoma tovuti yao (Movement for Change | Home), sioni uhusiano wa moja kwa moja zaidi ya ku-copy jina la chama cha wazungu hao. Swali langu, je CHADEMA wameanzisha M4C yao wakiwa wanajua haya? Kama ndivyo, najua kuwa CHADEMA ina uhusiano fulani na chama cha Conservertive cha Uingereza, lakini M4C hiyo ya Waingereza ina mahusiano na chama cha Labour cha Uingereza! Hapa pana nini? Jina la jinsi hii si sawa na Athmani au Jane ambalo mtu unaweza kujiita pamoja na kujua kuwa wapo wengine wenye jina hilo. CHADEMA watufafanulie hili!

Hawa jamaa wanashangaza sana. Kwa nini M4c na isiwe kwa kiswahili? Hawaoni mapema sana wameshawabagua watanzania wa kawaida ambao hawajui kiingereza? Wanapigia kelele rasilimali za taifa na huku wakisahau kuwa raslimali kuu ni lugha yetu ya kiswahili? Hizi tabia za kuiga iga mambo ya kizungu ndiyo baadaye yanatuletea ukoloni mamboleo nchini.
 
Inaelekea wewe mdini sana eeh! Ni vyema lakini kama hata hiyo dini haiwezi kukusaidia kuwa na nguvu ya kubadili jambo ya kazi gani basi? Siamini katika dini yoyote lakini imani yangu iko katika Mungu aliye hai ambaye anaweza geuza jana ikawa leo na wote tukawa wa jana hata kama tuliiona leo! Haihitaji nguvu kukulazimisha kuamini ninacho kwambia bali macho na ubongo wako utakusaidia kukwambia utakapo ona manifestation ya haya ninayokueleza (It does not matter wether you call them nguvu ya kanisa ama kitu gani swala ni kuwa M4C ipo na itachange hii status quo penda ama usipende) na kama unadhani ww una nguvu ya kuyazuia then go ahead! Maswali mengi ya nini?

Mkikosa hoja mnaanza viroja! Katika bandiko hili ulilolijibu ni kipi kilichoashiria udini?

quote_icon.png
By zomba

Wanaofaidika siyo wanaozikopa kujengea majumba "mchumba" na wanaokwenda na mashangingi zaidi ya moja (mengine escort) kwenye M4C?

Ingawa maswala yaliyomo katika post ile imeyapiga kibega chenga na kujifanya huyaoni, si kitu, najuwa si rahisi kuujibu ukweli wa maana halisi ya M46, si wewe tu, hakuna mwanachadema yeyote aliyethubutu kupinga au kujibu hayo, hata Makene anayaogopa kama ukoma.

Sikisii!
 
Mkikosa hoja mnaanza viroja! Katika bandiko hili ulilolijibu ni kipi kilichoashiria udini?

M4C ni "renaissance", ina uhusiano moja kwa moja na kanisa na ukristo! Na ushahidi wa links niliuweka humu JF jana.

Uwe unaona aibu kusema uwongo hadharani atleast ukiwa mwongo pia uwe na akili yakukumbuka fasta fasta uliusemea wapi uwongo wako ili uwe consistent lol!
 
Back
Top Bottom