Hivi unajua M4C ni nini?

Kwa muda mrefu sasa CHADEMA imekuwa inahamasisha washabiki/wapenzi wake kujiunga na M4C, au Movement For Change (kwa kiingereza). Wakati mwingine wanaona kwamba jambo lao fulani limefanikiwa, basi ni kutokana na nguvu ya M4C, na kadhalika, na kadhalika......... Baada ya kuambiwa kuwa huko Uingereza (UK) kuna chama kinachoitwa Movement for Change ambacho pia kinatumia kifupisho cha M4C nikashawishika kuona kama kuna uhusiano wowote na CHADEMA.

Baada ya kusoma tovuti yao (Movement for Change | Home), sioni uhusiano wa moja kwa moja zaidi ya ku-copy jina la chama cha wazungu hao. Swali langu, je CHADEMA wameanzisha M4C yao wakiwa wanajua haya? Kama ndivyo, najua kuwa CHADEMA ina uhusiano fulani na chama cha Conservertive cha Uingereza, lakini M4C hiyo ya Waingereza ina mahusiano na chama cha Labour cha Uingereza! Hapa pana nini? Jina la jinsi hii si sawa na Athmani au Jane ambalo mtu unaweza kujiita pamoja na kujua kuwa wapo wengine wenye jina hilo. CHADEMA watufafanulie hili!

Kwani ukombozi unamilikiwa na waingereza? acha uzushi wewe
 
Kwa muda mrefu sasa CHADEMA imekuwa inahamasisha washabiki/wapenzi wake kujiunga na M4C, au Movement For Change (kwa kiingereza). Wakati mwingine wanaona kwamba jambo lao fulani limefanikiwa, basi ni kutokana na nguvu ya M4C, na kadhalika, na kadhalika......... Baada ya kuambiwa kuwa huko Uingereza (UK) kuna chama kinachoitwa Movement for Change ambacho pia kinatumia kifupisho cha M4C nikashawishika kuona kama kuna uhusiano wowote na CHADEMA.

Baada ya kusoma tovuti yao (Movement for Change | Home), sioni uhusiano wa moja kwa moja zaidi ya ku-copy jina la chama cha wazungu hao. Swali langu, je CHADEMA wameanzisha M4C yao wakiwa wanajua haya? Kama ndivyo, najua kuwa CHADEMA ina uhusiano fulani na chama cha Conservertive cha Uingereza, lakini M4C hiyo ya Waingereza ina mahusiano na chama cha Labour cha Uingereza! Hapa pana nini? Jina la jinsi hii si sawa na Athmani au Jane ambalo mtu unaweza kujiita pamoja na kujua kuwa wapo wengine wenye jina hilo. CHADEMA watufafanulie hili!

Movement 4 Chagaa
 
Hata Zimbabwe kuna M4DC(Movement For Democratic Change). Watumishi wa Nape ni wengi sana humu.
Huyo mwalimu wenu kweli kimeo! Kama ndio yule jamaa ameonekana kwenye media akiilalamikia michango ya M4C kweli mmeliwa. Naanza kuamini baadhi yenu mmetumwa; haiwezekani yule jamaa aongee vile halafu thread za "kukebehi" M4C zianze kufurika namna hii. Jana nilimjibu mwenzio "zomba" kama ifuatavyo. Daka hiyo, itakusaidia:
 
Mimi nadhani mleta uzi alitaka afafanuliwe, ili kujua. sikudhani kuwa alitaka kuporomoshewa maneno ya kashfa na matusi. Hoja yangu, anayejua na anyeweza kueleza hili, atusaidie kujibu. maana pamoja na mleta uzi, na wengine tutajifunza. Taafadhali jama tunaomba msaada huo.
 
Kwa muda mrefu sasa CHADEMA imekuwa inahamasisha washabiki/wapenzi wake kujiunga na M4C, au Movement For Change (kwa kiingereza). Wakati mwingine wanaona kwamba jambo lao fulani limefanikiwa, basi ni kutokana na nguvu ya M4C, na kadhalika, na kadhalika......... Baada ya kuambiwa kuwa huko Uingereza (UK) kuna chama kinachoitwa Movement for Change ambacho pia kinatumia kifupisho cha M4C nikashawishika kuona kama kuna uhusiano wowote na CHADEMA.

Baada ya kusoma tovuti yao (Movement for Change | Home), sioni uhusiano wa moja kwa moja zaidi ya ku-copy jina la chama cha wazungu hao. Swali langu, je CHADEMA wameanzisha M4C yao wakiwa wanajua haya? Kama ndivyo, najua kuwa CHADEMA ina uhusiano fulani na chama cha Conservertive cha Uingereza, lakini M4C hiyo ya Waingereza ina mahusiano na chama cha Labour cha Uingereza! Hapa pana nini? Jina la jinsi hii si sawa na Athmani au Jane ambalo mtu unaweza kujiita pamoja na kujua kuwa wapo wengine wenye jina hilo. CHADEMA watufafanulie hili!
Huu ni uvivu wa kufikiri kwa kutumia kichwa chenye nywele, huyu anatumia masaburi ktk kufikiri, M4C vua gamba vaa gwanda inawapeleka puta Chama cha MABWEPANDE ( CCM), na bado kufikia 2015 sijui MAGAMBA mtakuwaje.
 
matatizo ya ku kremu nadhani. I guess, movement for change-is just mare words used to present a particular wish related to change!!
 
M4C ni "renaissance", ina uhusiano moja kwa moja na kanisa na ukristo! Na ushahidi wa links niliuweka humu JF jana.
 
Matusi hayaelimishi, zaidi ya mtukanaji kujidhalilisha mwenyewe!
Hajatukana kamwambia ukweli. Mjinga ni mtu asiyejua kitu fulani na tena akielimishwa hawi mjinga tena. Kwa hili NA WEWE NI MJINGA!
 
mimi nadhani mleta uzi alitaka afafanuliwe, ili kujua. Sikudhani kuwa alitaka kuporomoshewa maneno ya kashfa na matusi. Hoja yangu, anayejua na anyeweza kueleza hili, atusaidie kujibu. Maana pamoja na mleta uzi, na wengine tutajifunza. taafadhali jama tunaomba msaada huo.
kanunue kamusi.
 
Mimi sasa ndo nimegundua washabiki wengi wa chadema ni watoto wewe angalia majibu Yao ya kipunguani kabisa Pambaf
 
M4C inatumiwa na CDM kama slogan na si kama kufananisha na chama..................
 
Jana nilileta uzi hapa nadhani luga niliyoitumia ilikuwa ya high pitch nami naona ni toe tafsiri kwa luga nyingine ambayo pia inaweza kuwa ya juu lakini yenye kukubalika na mfumo wa ulimwengu wa walio wengi.
Ni nini basi maana halisi ya M4C na nini chanzo chake kwa tafsiri sahihi yangu mwenyewe!

Huu ni uamsho wa kukataa kuendelea kuishi maisha ya ufukara na umasikini ulitopea katika nchi yenye utajiri usiotamkika (Nukuu isiyo rasmi kutoka kwa Dr. Slaa). Uamsho una malengo ya kumfanya kila raia katika nchi ya Tanzania kutambua wajibu na sehemu yake katika kujiletea maendeleo kama ilivyokuwa kwa malengo ya kupigania uhuru wanchi. Hii inamaana fisadi yeyote bila kujali itikadi yake ya kichama ama kiroho hata pata nafasi ya kukanyaga Ikulu ya Tanzania. Hii haihitaji demokrasia na kila aliye fisadi na anadhani anaweza kufanya hivyo na athubutu basi kusonga mbele tuone kati ya hii kauli nay eye nani ni mwenye mamlaka na nguvu kubwa kumzidi mwenzake.

Nini chanzo cha huu uamsho wa M4C

Wengine watasema ni CHADEMA ni vyema na haki lakini naomba hapa nisimame mwenyewe nakuisimamia kauli yangu hii! Chanzo ni asili yenyewe ya uumbaji (ambayo mm naiita nguvu ya roho mtakatifu wewe waweza kuipa jina lako sahihi) Na kama hivyo ndivyo CHADEMA imetumika tu kama chombo sahihi ambacho kilijiweka tayari kupitishia mapenzi mema ya Mungu kwa watu wa taifa la Tanzania. Hii inamaana yakuwa hata kama kutakuwa na fisadi yeyote atakaye tokea ndani ya CHADEMA kutaka kuingia hilo jumba ufalme hataweza kwenda kinyume na amri hii halali ya Mwenye enzi mwenyewe! Nakama yupo anayebisha basi naye anaruhusa ya kusonga mbele ili adhihirishe nguvu yake kinyume na haya ninayo yasema.

Inawezekanaje haya kutokea...Sina maneno mengi ila katika tafakari yangu ili kufikisha ujumbe huu wa vipi hii nguvu ina fanya kazi basi kwa ufupi sana ni kama chembe chembe ziitwazo “Solitons”. Hizi zinatabia yakujikusanya japo zikiwa na nguvu ndogo lakini zinapokutana zinajiunga na kutengeneza nguvu moja kubwa inayoweza kusafiri katika hali hiyo hiyo bila kujichanganya na chembe nyingine zenye tabia isiyo fanana na zenyewe na kwa kasi ile ile hadi kubomoa miamba mikubwa....Inasemekana ndizo hasa zinazo sababisha vitu kama tsunami etc. Kwa jinsi hiyo hiyo ndivyo wazalendo wengi watanzania ambao kwa uweza wa Mungu mwenyewe wameweza kuunganishwa huku wengine wakijijua na wengine wasijue kuwa wanasaidia kupigana dhidi ya ufisadi.....(Kwa ufasaha wa jinsi ‘solitons’ zinavyofanya kazi soma hapa; wale wana science Soliton -- from Wolfram MathWorld and ; Chaos, Solitons & Fractals - Elsevier. Kwa wale ambao luga ya science ni ngumu Wikipedia imewarahisishia nao wanaweza jisomea hapa Soliton - Wikipedia, the free encyclopedia.
Nafasi ya Ame katika hili......
Baada ya kuzisoma hizi chembechembe darasani niliamua kufanya utafiti wangu mwenyewe na kwa imani yangu nikaamua kumlilia Mungu a lete nguvu ya solitons Tanzania nami nilipoweza kuichora ramani nzima nilimwelezea muumba mbingu na nchi nini ninataka. Ikawa jioni ikawa asubuhi hatimaye imetokea.......Naijua ramani yote ndiyo maana na uhakika na ninachokisema....Haina haja ya kuumiza watu wasio na hatia mwenye blue print ni Mungu mwenyewe na kazi ilisha malizika.......Ukombozi ni lazima anayebisha afanye atakalo!
 
Kwa muda mrefu sasa CHADEMA imekuwa inahamasisha washabiki/wapenzi wake kujiunga na M4C, au Movement For Change (kwa kiingereza). Wakati mwingine wanaona kwamba jambo lao fulani limefanikiwa, basi ni kutokana na nguvu ya M4C, na kadhalika, na kadhalika......... Baada ya kuambiwa kuwa huko Uingereza (UK) kuna chama kinachoitwa Movement for Change ambacho pia kinatumia kifupisho cha M4C nikashawishika kuona kama kuna uhusiano wowote na CHADEMA.

Baada ya kusoma tovuti yao (Movement for Change | Home), sioni uhusiano wa moja kwa moja zaidi ya ku-copy jina la chama cha wazungu hao. Swali langu, je CHADEMA wameanzisha M4C yao wakiwa wanajua haya? Kama ndivyo, najua kuwa CHADEMA ina uhusiano fulani na chama cha Conservertive cha Uingereza, lakini M4C hiyo ya Waingereza ina mahusiano na chama cha Labour cha Uingereza! Hapa pana nini? Jina la jinsi hii si sawa na Athmani au Jane ambalo mtu unaweza kujiita pamoja na kujua kuwa wapo wengine wenye jina hilo. CHADEMA watufafanulie hili!

Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/307102-hivi-unajua-m4c-ni-nini-2.html
 
Back
Top Bottom