aaahahahahaaa hapa mzeiya sasa tunaUA...........
Lufufu. Nalog offKuna zile CD zimeandikwa eti zimetafsiriwa Kiswahili, basi huyo alotafsiri sijui atokea Bara, kiswahili chenyewe champa shida, halafu Kiingereza hajui, kazi yake kupachika maneno, mie anikera kweli, mwenyewe sijui ajiita nani vileee..... nishasahau hata jina lake.
Mzee kongosho tunaichanganya vipi hiyo ili ikiwezekana nimpe high dose...?
Kuna zile CD zimeandikwa eti zimetafsiriwa Kiswahili, basi huyo alotafsiri sijui atokea Bara, kiswahili chenyewe champa shida, halafu Kiingereza hajui, kazi yake kupachika maneno, mie anikera kweli, mwenyewe sijui ajiita nani vileee..... nishasahau hata jina lake.
Kama hujui vipimo basi acha usije tengeneza bomu, basi kodisha majambazi feki waje wawaingilie, wanakuja na cargo tape wanamziba mdomo na kumfunga mikono afu nyie wanawaacha. Akiwauliza why him alone kafungwa mmwambie majambazi ya huko kwenu hayapendi kelele.
kongosho hii ni ya ukweli zaidi.....! dah ahahahahaha haa this way atanyamaza na itakua tabia yake milele hahahaaa... nacheka tu hapa ila kwa kweli jamaa hata kama ni wewe ungeshindwa kuvumilia yani
sio kipole pole halafu linakua kama vile linataka kugain usuperstar wa fasta fasta kwamba linajua mamovie kumbe linaboa kinyama yani aaah
nifanye nini ambacho kitamfanya awe kimya..?
jamani niko na jamaaa mmoja hapa ni mgeni apa home ila inaonekana kaona movies nyingi kidogo
basi mkiangalia movie jamaa kama anaijua anaanza kuhadithia nini kitatokea... kwakweli mimi hili linaniboa sana
vipi wewe hua unafanyaje kama kitu kama hiki kikitokea manake jamaa ananiboa kinyama yani na ninashindwa kumwambia coz ni mgeni
Kuna zile CD zimeandikwa eti zimetafsiriwa Kiswahili, basi huyo alotafsiri sijui atokea Bara, kiswahili chenyewe champa shida, halafu Kiingereza hajui, kazi yake kupachika maneno, mie anikera kweli, mwenyewe sijui ajiita nani vileee..... nishasahau hata jina lake.
naona wewe unatabia za umbea na unaa ya nyumbani unaleta jamvini ili iweje enhee..
kama umeboleka chana mtu live ya nini kuleta umbea jamvini..
basi kama upo nae karibu muonyeshe hii thread....I hope hajui username yako.....
naona wewe unatabia za umbea na unaa ya nyumbani unaleta jamvini ili iweje enhee..
kama umeboleka chana mtu live ya nini kuleta umbea jamvini..