Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau tuchangie hiyo.....
vumulia, take your tym usijefanya desicions za ajabu, ni mume wako, piga magoti muombee aliyewaunganisha, atayamaliza! ni msalaba wako hivyo kuachana si solution, rekebisha unapodhani ulikosea mpaka ikabidi atoke nje, mueleze kwa upendo kuwa unaumia na unatamani arudi kwako tena, akupe nafasi nyingine tena! my opinion tu!
vumulia, take your tym usijefanya desicions za ajabu, ni mume wako, piga magoti muombee aliyewaunganisha, atayamaliza! ni msalaba wako hivyo kuachana si solution, rekebisha unapodhani ulikosea mpaka ikabidi atoke nje, mueleze kwa upendo kuwa unaumia na unatamani arudi kwako tena, akupe nafasi nyingine tena! my opinion tu!
wadau tuchangie hiyo.....
Na mimi nitamcheat tena na besti yake...
vumulia, take your tym usijefanya desicions za ajabu, ni mume wako, piga magoti muombee aliyewaunganisha, atayamaliza! ni msalaba wako hivyo kuachana si solution, rekebisha unapodhani ulikosea mpaka ikabidi atoke nje, mueleze kwa upendo kuwa unaumia na unatamani arudi kwako tena, akupe nafasi nyingine tena! my opinion tu!
wadau tuchangie hiyo.....
Ili uwe unamchiti akuvumilie eeh???