HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,345
- 94,508
Imeandikwa USIZINI ila nawaambieni yeyote amtazamae mwanamke na kumtamani amezini nae. Hayo ni maneno ya Yesu
Kijana mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako Mhubiri 12:1----
Je hayo ufanyayo yampendeza muumba wako? Ila kumbuka unawezq badilika murudie Muumba wako
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kijana mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako Mhubiri 12:1----
Je hayo ufanyayo yampendeza muumba wako? Ila kumbuka unawezq badilika murudie Muumba wako
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums