Hivi ujanja wa sinza ni upi hasa

kwa msiojua sinza ni sehemu ya "wakuja" mjanja hawezi kaa sinza hata siku moja!!!

umeongea ukweli.wakuja ndo wanazimikia.kwanza sinza kero,kama unaenda asubuhi mjini Rabda ukageze na gari mwenge vinginevyo utakoma.sinza mvua ikinyesha barabara zote zinajaa maji.vibaka wanaokaba kwa mtogore,ali maua na kijitonyama wanatoka sinza.nyie kaeni sinza sisi tutakuwa tunakuja kuwamegea na kurudi makwetu.
 
ila hii post hapa si mahali pake, me sioni chochote kuhusu urafiki wala mahusiano labda ungeipeleka jukwaa la habari mchanganyiko
 
umeongea ukweli.wakuja ndo wanazimikia.kwanza sinza kero,kama unaenda asubuhi mjini Rabda ukageze na gari mwenge vinginevyo utakoma.sinza mvua ikinyesha barabara zote zinajaa maji.vibaka wanaokaba kwa mtogore,ali maua na kijitonyama wanatoka sinza.nyie kaeni sinza sisi tutakuwa tunakuja kuwamegea na kurudi makwetu.
Wapi dar hapajai maji mvua ikinyesha?
 
ila hii post hapa si mahali pake, me sioni chochote kuhusu urafiki wala mahusiano labda ungeipeleka jukwaa la habari mchanganyiko

Invisible,Max,Silencer,Pain Killer,Paw na Farida ndio wanaopanga thread ikae wapi.
BACK TO TOPIC
 
Sinza kuna sehemu pana Guest House kama tatu zimepangana hizo Guest House zinafuatiwa na nyumba moja ambayo mwenye nyumba imebidi aandike getini kuwa "Hii ni nyunba binafsi siyo Guest House"

Yapo maeneo mawili yenye nyumba za wageni zilizojipanga namna hiyo nayo Nairobi Guest-Jirani na Blue Bird na kule Sinza kwa Remmy mtaa wa nyuma ya Azania...

Ila EAST-WEST Sinza is the best...
 
Tukiwa na vijana wenye upeo huu ni hasara kubwa kwa Taifa. hawa ndio wanawavalishaga majoho watoto wa nursery school kwamba wamegraduet.

sio makosa yako mkuu..mi naomba tu ujiamini kwamba na wewe pale ulipoishia form 4..uligraduate ndo mana mliandika pale juu 'MAHAFALI YA KIDATO CHA 4' au 'FORM FOUR GRADUATION CEREMONY'
 
Sinza kumekucha! Pale hata saa 10 ucku chipsi, masholi wa kujiuza pia utapata!
 
Nilipofika Dar kutoka kijijin kwe2 ili niend shule pugu sec,nilikuw na ndugu wengi 2 Dar,ila nilipoambiwa kaka angu anakaa sinza nikaapa ntakaa hapohapo!Sinza watu wanaishi kwa mkumbo hasa vijtana,hakuna lolote ni kama uswahl 2,wengne wanaish manzese lakn wanasema wanakaa cnza,nimekaa sinza miaka 7,kuna uzur wake na kero kibao.
 
Sinza kuna sehemu pana Guest House kama tatu zimepangana hizo Guest House zinafuatiwa na nyumba moja ambayo mwenye nyumba imebidi aandike getini kuwa "Hii ni nyunba binafsi siyo Guest House"

hahaa i know the place pale mugabe hivii
 
sio makosa yako mkuu..mi naomba tu ujiamini kwamba na wewe pale ulipoishia form 4..uligraduate ndo mana mliandika pale juu 'MAHAFALI YA KIDATO CHA 4' au 'FORM FOUR GRADUATION CEREMONY'

Mbona unanipandisha sana elimu, mimi sikufanikiwa kupata elimu ya secondary school.
 
Post za kipuuzi hizi, unaposema vijana wengi magraduet wanakwenda kupanga sinza, kwahiyo unamaanisha wale ambao hawajapata elimu ya juu sio vijana. wewe ni mvivu wa kufikiri. edit upya thread yako ili uilete jamvini. pesa ndio mpango mzima na sio kugraduet.


halafu mie wabongo wananiudhi sana eti magraduate wengi, kuna graduate tanznia.....kwani wanaoishi Sinza wote wamesoma Tumaini? Fweza ndo inaifanya sinza iitwe kwa wajanja...
 
71139_117310695006173_6528686_q.jpg


CIMG4946.jpg
 
SINZA SINZA SINZA, tupatungie wimbo sinza
Bongo Dar es salaam, sinza ya leo kila ya baada ya nyumba bar na zote zinajaa na hapo ndipo utakaposhangaa na watu wanamagari mpaka ya millioni 200 wakati kwa mbongo wa kawaida baiskeli tu kitendawili.
 
uwa naamini watu wa mipango miji wangependekeza sinza isiwe sehemu ya makazi ya watu!

Look

kutoka kwa kakobe mpaka mori kuna guest house zaidi ya kumi!

Lapaloma, pr, blue bird, bumbire, land mark, rufita, mori, jolly, opposite na kwa mae, !!!!!

Baa/pub zaidi ya ishirini (kwenye same stretch):-
kabla ya kiti moto, kiti moto, baada ya kiti moto, kabla ya sungu chini, sungu chini, kwa afande, meeda, meeda-b, njia panda ya bumbire, frame * 3, kwa mae, rufita, mori, e.t.c!

hapo ktk red hivi hiyo gesti bado ipo? Bado wanafua shuka zao vizuri ?
 
pale B.bar unakesha ukiangalia mpira wa uefa labda.mbona hamna kitu pale.eti sinza kuna bar,9t club.sijaon bado.bar zenyewe chafu,nzi kibao,viti vya plastic tena vya promotion ya cocacola,kili,safari au pepsi.b.bar yenyewe moshi wa kitimoto bar nzima.9t club ipi?ambiance au?haina hat sehemu ya kuchezea.ukiingia kidogo tu unatokwa jasho.niache kdog

napata bia + k/moto B.BAR nacheki *102# mfukoni km linasoma 0.00 naenda kijiweni nacheka na atm. nadroo z kutosha naenda kona bar nang'oa wa ukwe e! 2naenda kulala ...... yaani sinza!! paache paitwe cnza.
 
napata bia + k/moto B.BAR nacheki *102# mfukoni km linasoma 0.00 naenda kijiweni nacheka na atm. nadroo z kutosha naenda kona bar nang'oa wa ukwe e! 2naenda kulala ...... yaani sinza!! paache paitwe cnza.

atm unakuta haina hela,unapita sheli unakuta wamelala mlinzi anakwmbia jaribu bamaga,baada ya bamaga unaenda sansiro unacheza kidogo kenye ukumbi mkubwa wenye watu ka 10 unaamua kuondoka.unafika nje unakuta umeibiwa kioo.unaamua kwenda bill's.cd ya sinza ana harufu.
 
Back
Top Bottom