figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
kwa msiojua sinza ni sehemu ya "wakuja" mjanja hawezi kaa sinza hata siku moja!!!
umeongea ukweli.wakuja ndo wanazimikia.kwanza sinza kero,kama unaenda asubuhi mjini Rabda ukageze na gari mwenge vinginevyo utakoma.sinza mvua ikinyesha barabara zote zinajaa maji.vibaka wanaokaba kwa mtogore,ali maua na kijitonyama wanatoka sinza.nyie kaeni sinza sisi tutakuwa tunakuja kuwamegea na kurudi makwetu.