HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
habarini wana JF,
nimekuwa nikipitia site hii na kuona majadiliano mbalimbali.
mambo mengine yanatisha hata unaogopa kuoa kwa watu wanavyozieleza ndoa. juzi nimesoma topic inasema "hivi kuna umuhimu wa ndoa" duh nilipagawa zile comments.
hivi ni hapa tz ndo tunadanganyana sana kuliko nchi nyingine?
mliozunguka na kuishi nchi nyingine mnalionaje suala hili? nako huko mambo ni hayahaya?
nimekuwa nikipitia site hii na kuona majadiliano mbalimbali.
mambo mengine yanatisha hata unaogopa kuoa kwa watu wanavyozieleza ndoa. juzi nimesoma topic inasema "hivi kuna umuhimu wa ndoa" duh nilipagawa zile comments.
hivi ni hapa tz ndo tunadanganyana sana kuliko nchi nyingine?
mliozunguka na kuishi nchi nyingine mnalionaje suala hili? nako huko mambo ni hayahaya?