Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Samahan wapendwa kama ntawaudhi
kuna jambo linanitatiza kila nikiamka asbh ni kura za ccm
waziri wa ccm,diwan wa cc,katibukata wa ccm,mkuu wilaya wa ccm
kakamatwa na rushwa najiuliza hivi akuna vyama vingine ama ndio urasmi wa magazeti...najiuliza mara 2*2...embu tuwe pamoja tusiue democrasia jamani kuna wakina silaa wachunguzen nao...wafwatilien wakina mwanyika n wngine ingawa amtawapata at least mmekuwa na democrasia lakini hii ya kuamka kila abh ccm ccmccm ipo siku tutasema basi..imetosha
kuna jambo linanitatiza kila nikiamka asbh ni kura za ccm
waziri wa ccm,diwan wa cc,katibukata wa ccm,mkuu wilaya wa ccm
kakamatwa na rushwa najiuliza hivi akuna vyama vingine ama ndio urasmi wa magazeti...najiuliza mara 2*2...embu tuwe pamoja tusiue democrasia jamani kuna wakina silaa wachunguzen nao...wafwatilien wakina mwanyika n wngine ingawa amtawapata at least mmekuwa na democrasia lakini hii ya kuamka kila abh ccm ccmccm ipo siku tutasema basi..imetosha