s.fm
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 663
- 117
Nimesikitishwa na story ya kwenye gazeti la habar leo "mwanafunzi mgonjwa abakwa, afa" huku taarifa zaidi zinasema alikua mgonjwa wa moyo na alifariki dunia muda mfupi baada ya kufikishwa hospitali ya mkoa wa Rukwa. huyu mwanafunzi alibakwa na genge la watu wasiofahamika huku wakifanya hivyo kwa zamu.
ukiachilia mbali habari hii, zipo nyingine nyingi sana ambazo tunazisikia kila kukicha yani mpaka nahisi ubakaji ni kitu cha kawaida vile....!
We must be very careful na ndugu zetu jamani..kaka,dada, na watoto tena ikiwezekana usiruhusu hata kama kuna mgeni (ndugu/rafiki) eti kaja nyumbani unamwacha alale na watoto/mtoto wako...yani kubaka these days is very easy mtu anachukua tu anavua ch*pi anaanza..
Yani mpaka leo hii watu wanashindwa kutongoza? wanawake wenyewe kibao tunapigana vikumbo tu mitaani huko...na wale wanaobaka watoto je? ni kiu, hamu ya kuona uchi wa mtoto, ushirikina, domo zege, au basi ti visa..! halafu eti tunaishi kwa amani, amani gani?
sijui hawa watu wanahitaji elimu ya namna gani...msaada hapa! and just remember this thing has been part of us, it is everywhere in this world
ukiachilia mbali habari hii, zipo nyingine nyingi sana ambazo tunazisikia kila kukicha yani mpaka nahisi ubakaji ni kitu cha kawaida vile....!
We must be very careful na ndugu zetu jamani..kaka,dada, na watoto tena ikiwezekana usiruhusu hata kama kuna mgeni (ndugu/rafiki) eti kaja nyumbani unamwacha alale na watoto/mtoto wako...yani kubaka these days is very easy mtu anachukua tu anavua ch*pi anaanza..
Yani mpaka leo hii watu wanashindwa kutongoza? wanawake wenyewe kibao tunapigana vikumbo tu mitaani huko...na wale wanaobaka watoto je? ni kiu, hamu ya kuona uchi wa mtoto, ushirikina, domo zege, au basi ti visa..! halafu eti tunaishi kwa amani, amani gani?
sijui hawa watu wanahitaji elimu ya namna gani...msaada hapa! and just remember this thing has been part of us, it is everywhere in this world