Nimejiuliza wenzetu wanaongelea nchi yao na issues....lakini wanasiasa wetu wamekazana kuojiongelea wao na wapambe wao..
Inamaana hakuna wanasiasa hasa vijana wenye kuweza kujenga hoja za msingi za kitaifaa?au tumelogwa na ulevi wa usisi na madaraka?
Source check Paul Ryan speeches
Inamaana hakuna wanasiasa hasa vijana wenye kuweza kujenga hoja za msingi za kitaifaa?au tumelogwa na ulevi wa usisi na madaraka?
Source check Paul Ryan speeches