Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 318
- 67
Pundit,
Ukosefu wa maadili miongoni mwa jamii yetu unachangiwa sana na uovu huu mbaya unoendelea sasa. Science na teke linalokujia ndiyo ame acceralate uovu huu. Watu wanshindwa kuitumia hii fulsa ya kuwa na Mtandao na kuanza kuitumia kwa nia isiyokusudiwa kabisa. Lakini haya tufanyeje maana mtu huyu anayefanya haya ni jibaba au jimama lizima kabisa na heshima zake nyingi tena linaaminiwa mpaka linafanya kazi nyeti za benki. WanaJF yafaa kujua kuwa Ibilisi anatumia watu bila kujali wadhifa, heshima wala umuhimu wake kwa jamii. Hizi ni kazi za ibilisi kuanzia yule anayekubali kupigwa picha akiwa uchi mpaka kwa yule anayesambaza na kufurahia. Kwani wapo watu wanaofurahia kupigwa picha wakiwa uchi na wakifurahi picha zao kusambazwa ktk mitandao. Lakini pia fulsa hiyo pia imetumika kama kukomoana miongoni mwetu na hizi ni kazi za Ibilisi zote, na hawa watu wanaofanya hivyo ni agent wa ibilisi.
Hii kuikabili ni ngumu kwa hali ya kawaida bali ni kwa wahusika kujithamini wao kuwa wameumbwa kwa mfano wa Mungu hawatakiwi kuuzalilisha uumbaji wa Mungu. Na wale wanaodhalilisha wenzao kwa kusambaza picha hizi wajue wandhalilisha uumbaji wa Mungu. Wanatakiwa wajirudi waombe rehema mbele za Mungu ili awasamehe na kuacha kabisa biashara hiyo.
Ukosefu wa maadili miongoni mwa jamii yetu unachangiwa sana na uovu huu mbaya unoendelea sasa. Science na teke linalokujia ndiyo ame acceralate uovu huu. Watu wanshindwa kuitumia hii fulsa ya kuwa na Mtandao na kuanza kuitumia kwa nia isiyokusudiwa kabisa. Lakini haya tufanyeje maana mtu huyu anayefanya haya ni jibaba au jimama lizima kabisa na heshima zake nyingi tena linaaminiwa mpaka linafanya kazi nyeti za benki. WanaJF yafaa kujua kuwa Ibilisi anatumia watu bila kujali wadhifa, heshima wala umuhimu wake kwa jamii. Hizi ni kazi za ibilisi kuanzia yule anayekubali kupigwa picha akiwa uchi mpaka kwa yule anayesambaza na kufurahia. Kwani wapo watu wanaofurahia kupigwa picha wakiwa uchi na wakifurahi picha zao kusambazwa ktk mitandao. Lakini pia fulsa hiyo pia imetumika kama kukomoana miongoni mwetu na hizi ni kazi za Ibilisi zote, na hawa watu wanaofanya hivyo ni agent wa ibilisi.
Hii kuikabili ni ngumu kwa hali ya kawaida bali ni kwa wahusika kujithamini wao kuwa wameumbwa kwa mfano wa Mungu hawatakiwi kuuzalilisha uumbaji wa Mungu. Na wale wanaodhalilisha wenzao kwa kusambaza picha hizi wajue wandhalilisha uumbaji wa Mungu. Wanatakiwa wajirudi waombe rehema mbele za Mungu ili awasamehe na kuacha kabisa biashara hiyo.