Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wanajamvi wenzangu.
Kwa nini TTCL inashindwa uwa ISP No 1 nchini tena wa BROADBAND ya uhakika na bei nafuu?position yao kwenye Market share ya voice communication iko chini. Let assume kwa hilo hawana cha ufanya. But wht abaout other Data communication?
Naamini TTCL ina miundo mbinu ya cables na wiring amabayo kwanza iko underutilised sababu sasa hvi ni wateja wachache sana wana simu za landline.
Lakini Nina hakika VIongozi na wakurugenzi wa TTCL wanaweza kuwa Biggest Broadband Provider Tanzania. Sielewi kwa nini wakurugenzi wa hili shirika hawajafikiria kufanyia kazi hii . Au kuna watu wamo kwenye utawala wa hili shirika na ajenda yao kubwa ni kulihujumu kwa manufaa ya kampuni binafsi za mawasiliano.
Nahakika hata akija muwekezaji na kununua hili shirika mambo ya VOICE ataweka pembeni na effort zake kubwa itakuwa ni kwenye BROADBAND.
My advise kwa Viongozi wa TTCL. mmeshapigwa bao kwenye mambo ya VOICE amkeni mnaweza kuwapiga bao kwenye DATA.
Nawasilisha kwa mjadala
Kwa nini TTCL inashindwa uwa ISP No 1 nchini tena wa BROADBAND ya uhakika na bei nafuu?position yao kwenye Market share ya voice communication iko chini. Let assume kwa hilo hawana cha ufanya. But wht abaout other Data communication?
Naamini TTCL ina miundo mbinu ya cables na wiring amabayo kwanza iko underutilised sababu sasa hvi ni wateja wachache sana wana simu za landline.
Lakini Nina hakika VIongozi na wakurugenzi wa TTCL wanaweza kuwa Biggest Broadband Provider Tanzania. Sielewi kwa nini wakurugenzi wa hili shirika hawajafikiria kufanyia kazi hii . Au kuna watu wamo kwenye utawala wa hili shirika na ajenda yao kubwa ni kulihujumu kwa manufaa ya kampuni binafsi za mawasiliano.
Nahakika hata akija muwekezaji na kununua hili shirika mambo ya VOICE ataweka pembeni na effort zake kubwa itakuwa ni kwenye BROADBAND.
My advise kwa Viongozi wa TTCL. mmeshapigwa bao kwenye mambo ya VOICE amkeni mnaweza kuwapiga bao kwenye DATA.
Nawasilisha kwa mjadala