LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Jana tumeona maandamano ya wanafunzi wa Kiislamu lakini hatujasikia taarifa za Kiintelinjensia zikidai kwamba kuna tishio la Al Shabaab. Hivi tishio hili limeisha au linajitokeza pale tu kunapotokea maandamano ya CHADEMA tu? Au tuseme "zimwi likujualo halikuli likakwisha?"