MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
Nimepitia kwa makini document hii iliyotolewa na huyu jamaa anayejiita mmiliki wa DOWANS. Nimegundua kwamba tatizo si dowans tu, bali hata watendaji wetu wa serikali tuliowapa dhamana kubwa lakini wanazitumia vibaya.
hebu pitieni hiyo press release ya huyu jamaa, mtoe comments zenu.
hebu pitieni hiyo press release ya huyu jamaa, mtoe comments zenu.