nakyoganzala
Member
- Jul 15, 2012
- 6
- 0
Bunge la tanzania sasa lashangaza hata majanga mnaingiza siasa, je tutafika? Kuna haja ya kuwapima akili zao ili tubaki na wabunge wenye akili timamu tumechoshwa na vituko vyenu .je waungwana munalionaje hilo ? watu wamekufa kwenye ajali wao wanaanza marumbano mimi ninamashaka na akili zao wewe je?:eek2::eek2: