Hivi tanzania haikuwa na mgombea bora zaidi ya jk mwaka 2005?

mwananchit

JF-Expert Member
Oct 13, 2008
242
296
Nikiangalia madudu yanayofanywa na serikali ya JK miaka 50 baada ya kile kinachoitwa uhuru ndani ya nchi inayodaiwa kuwa ni kisiwa cha amani huku wananchi wake wakiogelea kwenye lindi la ufukara uliopindukia, nashindwa kujizuia kujiuliza kama kweli JK alikuwa ndiye chaguo sahihi la watanzania (au mtandao?) ukilinganisha na wanasiasa wengine waliojitokeza kugombea urais mwaka 2005kama vile SALIM, MWANDOSYA, SUMAYE, TINGATINGA nk . Hivi kweli tulipokuwa tunashangilia kumwondoa mkoloni kwenye ardhi ya Tanganyika tulikuwa tunajua kwamba siku moja tutakuja kumkabidhi nchi hii ****** kwa ahadi hewa za kuletewa maisha bora? HEBU NDUGU ZANGU WATANZANIA TUJADILI.
 
Nadhani mzee Salim alistahili tangu 1984 alipoombwa na Baba wa Taifa kushika wadhifa huo japo hakuweza kuridhia
 
Jaman nawasih tena kuwen makin msije kudanganyika kumpa urais mtu yeyote wa ccm hata awe jembe vp hata mudu kuzikabir hz changamoto kwanza atakua anabanwa na chama akitaka kushughulikia mafsadi ataambiwa anaua chama ccm nisumu hakuna waku2faa kumbuken mh sitta alivyo 2lizwa,angalia nape kwenye sakata la jengo la uvccm.
 
Nadhani Uchakachuaji ulitawala ktk Mchakato 2005! Mgombea akaletwa ful sanaa!
 
Back
Top Bottom