Hivi spika Anna Makinda hana wigi la aina nyingine?

Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana wigi analovaa huyu mama. kwa muda wote akiwa bungeni, nje ya nchi hata na wageni wake amekuwa akivaa wigi la aina moja tu ambalo kwanza halimpenezi bora hata angeacha nywele zake asuke mitindo mbalimbali au anunue mawigi ya aina mbalimbali ili alete mvuto wa kumuangalia. Kwa hilo alilonalo linachosha kuliangalia kila siku. Washauri wake au marafiki zake mtakaopita hapa JF hebu mpeni ushauri huu ili abadilike kidogo tumuone kwa muonekano mwingine tena unaweza ukampendezesha zaidi akawa wa kuvutia
Lile wigi watu wa njombe wanasema lina Nguvu fulani ya Kimira ambayo hataipata kama atabadilisha!!!!!!!!!!!!!
Ndio maana akivaa huwa anatisha usoni na kupitisha miswaada bila woga!!!!!!!
 
maisha ya mtu ni vile anavyo yaendesha mambo za wigi ni uhuru wake binafsi,mvuto mi mbona ananivutia wajameni!
Yaani! hawa wanaodai abadilishe wigi, wameambia huyu mama ni Miss Bunge?Kama wanataka abadilishe mitindo wakasimame mtaa wa Samora!Vimehuuuu!!?
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana wigi analovaa huyu mama. kwa muda wote akiwa bungeni, nje ya nchi hata na wageni wake amekuwa akivaa wigi la aina moja tu ambalo kwanza halimpenezi bora hata angeacha nywele zake asuke mitindo mbalimbali au anunue mawigi ya aina mbalimbali ili alete mvuto wa kumuangalia. Kwa hilo alilonalo linachosha kuliangalia kila siku. Washauri wake au marafiki zake mtakaopita hapa JF hebu mpeni ushauri huu ili abadilike kidogo tumuone kwa muonekano mwingine tena unaweza ukampendezesha zaidi akawa wa kuvutia

Usijali, juzi kasaini Sh 280,000 mahali fulani, atakuja kivingine baada ya kwenda shopping
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana wigi analovaa huyu mama. kwa muda wote akiwa bungeni, nje ya nchi hata na wageni wake amekuwa akivaa wigi la aina moja tu ambalo kwanza halimpenezi bora hata angeacha nywele zake asuke mitindo mbalimbali au anunue mawigi ya aina mbalimbali ili alete mvuto wa kumuangalia. Kwa hilo alilonalo linachosha kuliangalia kila siku. Washauri wake au marafiki zake mtakaopita hapa JF hebu mpeni ushauri huu ili abadilike kidogo tumuone kwa muonekano mwingine tena unaweza ukampendezesha zaidi akawa wa kuvutia

Hivi analisafishaga kweli?
 
maisha ya mtu ni vile anavyo yaendesha mambo za wigi ni uhuru wake binafsi,mvuto mi mbona ananivutia wajameni!
Sikushangai maana kama wewe ndo unamuuzia kwa nini asikuvutie? pia kama wewe ni magamba na umelelewa na fedha za magamba kwa nin usivutiwe nae?? ni haki yako ya msingi akuvutie maana upuuzi anaoufanya bungeni unaendeana na wishes zako. Big up makamba, nawe kanunue moja uvae kisha mpige picha ya pamoja
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom