Kama lengo la mtego wao ni kuolewa LABDA, wakiolewa watavaa ambazo hazitegi coz watakuwa wamepata walichokuwa wanakitega.Masister du wengi jinsi wanavyovaa ni kimtego,je wakiolewa wanaweza wakavaa nguo za heshima?
Masister du wengi jinsi wanavyovaa ni kimtego,je wakiolewa wanaweza wakavaa nguo za heshima?
Sio rahisi mtu kuacha tabia yake, ila kama ameamua kuvaa kwa mtego wa kupata mume, akipata mume anaweza akabadilika cz lengo litakuwa limetimia.Kama lengo la mtego wao ni kuolewa LABDA, wakiolewa watavaa ambazo hazitegi coz watakuwa wamepata walichokuwa wanakitega.[/QUOTE
Sweetlady ni rahisi kweli mtu kuacha tabia aliyoizoea?
ukitaka asahau kutega lazima honey moon iwe fulltime mpaka asahau kutega na hakitega kwa juhudi zote hizo basi wacha, huyo kutega ni 4life utaletewa mdudu bure kwa raha zake.
Kama waweza kumpagawisha ataacha kutega kama haachi basi humpagaishi huyo waachie watoto wa mjini...Ila mi nadhani hata honey moon ziwezi nyingi kutega haachi hayse,mana wenye kutega ni kama vicheche mi nadhani,ila kama walishaolewa
Masister du wengi jinsi wanavyovaa ni kimtego,je wakiolewa wanaweza wakavaa nguo za heshima?
kuna wengine hata havae vipi yeye bado anatega cause ndo alivyo - hivyo akiolewa bado tu atatega!
na wewe upo vipi??????
the boss no matter nivae vipi natega.....lol