Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
pole ntakupa tution hofu toa tutaenda sawa tu mjomba....nini ngumu apo?nikudadafulie?Duh! Kiswanglishi chako kigumuuuu!!
Ingawa mimi sikubaliani na mtoa hoja! Kama anajilaumu ni yeye, mimi sijawahi kujilaumu.....pengine nalenga KUNAKO!
km haukubaliana nae poa bas wewe mkaka mzuri
na usiwe unafanya ivo