KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kwanini sisi wanaume tuhangaikiapo Demu kwa muda mrefu na kumpata na ukisha m-du unabaki ukijilahumu kwanini ulikuwa unahangahika hivi??hupati jibu?hata radha husahaulika!!nakuona kile kitu kama kitu chakawaida na value yake kuhisha!!Ila yule hambaye hajakukaangisha mahindi huendelea kumpenda!!kwa nini??