Hivi sisi wanaume ndiyo tabia zetu??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Kwanini sisi wanaume tuhangaikiapo Demu kwa muda mrefu na kumpata na ukisha m-du unabaki ukijilahumu kwanini ulikuwa unahangahika hivi??hupati jibu?hata radha husahaulika!!nakuona kile kitu kama kitu chakawaida na value yake kuhisha!!Ila yule hambaye hajakukaangisha mahindi huendelea kumpenda!!kwa nini??
 
Kwanini sisi wanaume tuhangaikiapo Demu kwa muda mrefu na kumpata na ukisha m-du unabaki ukijilahumu kwanini ulikuwa unahangahika hivi??hupati jibu?hata radha husahaulika!!nakuona kile kitu kama kitu chakawaida na value yake kuhisha!!Ila yule hambaye hajakukaangisha mahindi huendelea kumpenda!!kwa nini??

wanaume mpo wapi mbona hamjibu???? sijui nilikuwa natafuta nini huku lol!!!
 
Hata ukiwa na hamu ya soda ukiishakunywa na kukata kiu basi ile chupa unaifanyia vioja vingi sana mara utakuta inawekewa mafuta ya taa ndani yake mara mafuta ya kula.
 
ni sawa na maji unapokuwa na kiu unaweza kuyatafuta kwa hali yoyote ila kiu ikiisha yanakuwa hayana thamani na chupa yake unaitupilia mbali

kuna ile "law of diminishing marginal utility" inaelezea vizuri sana hiki kitu kwa wale wana uchumi tutakuwa tunaelewana
 
wanaume mpo wapi mbona hamjibu???? sijui nilikuwa natafuta nini huku lol!!!

Tupo!

Inategemea na vitu viwili:
1. mashine
2. maumbile (hasa kisanvu). Kisanvu hupandisha hisia! Siyo unakuwa na dem kapigwa rula noma.

Kama (1) ina tait na (2) ipo, LAZIMA URUDI! Hakuna cha maringo hapo.
 
finest na ka kiiza fanyen mpango mrud kwa mungu
NI NYINYI TU wanaume m sor baadhi ya wanaume amjatulia ata umpe afta 3minutes ya kukuomba mtamwagana au umpe afta 3yrs afta kukuomba mtamwagana pia
DURABILITY INATEGEMEANA NA MUTUAL STANDING YENU BAINA YENU+CHEMISTRY BTN U 2+INTEREST=INADERTEMINE UWEPO WENU
km ukikuta yaliyomo yamo basi ahh utatulia na msiwe bias ata kwa mademu pia ukionja ukikutafyafyafyaaaaaaaaaaaa babu doooooooro akhu lazima usepe kwa IYO SI NYINYI TU WANAUME NDO MNAOPANGA UYU NIWE NAE KWA MUDA GAN......... ni maridhiano baina zote mbili........nwai maombi mie byeeeeeeeeee
tena 2b precs ni kwamba mademu ndo wanaopanaga uyu nimwekeje ......ao wanaolilia ni wale wafanyabiashara km alikuunda kimmkukuta zaidi basi poa atakulilia afta we kukatisha tenda bt yule wa ukweli ahhhhh aaaaaaaahh atachek mara 4 4 uyu niendelee nae au niomsepeshe......DEMU NDO ANAPANGA SI MAN(naongelea mademu wa ukweli si wafanyabiashara ambao mnawapangia nyinyi uyu afta kunizungusha nikae nae au nimsepeshe afta kupata ulichotaka.........)
bt msifanye ivo si vyema ata km alikuzungusha we kuwa nae tu syo afta kupata mzigo wa wasepa.......
 
finest na ka kiiza fanyen mpango mrud kwa mungu
NI NYINYI TU wanaume m sor baadhi ya wanaume amjatulia ata umpe afta 3minutes ya kukuomba mtamwagana au umpe afta 3yrs afta kukuomba mtamwagana pia
DURABILITY INATEGEMEANA NA MUTUAL STANDING YENU BAINA YENU+CHEMISTRY BTN U 2+INTEREST=INADERTEMINE UWEPO WENU
km ukikuta yaliyomo yamo basi ahh utatulia na msiwe bias ata kwa mademu pia ukionja ukikutafyafyafyaaaaaaaaaaaa babu doooooooro akhu lazima usepe kwa IYO SI NYINYI TU WANAUME NDO MNAOPANGA UYU NIWE NAE KWA MUDA GAN......... ni maridhiano baina zote mbili........nwai maombi mie byeeeeeeeeee
tena 2b precs ni kwamba mademu ndo wanaopanaga uyu nimwekeje ......ao wanaolilia ni wale wafanyabiashara km alikuunda kimmkukuta zaidi basi poa atakulilia afta we kukatisha tenda bt yule wa ukweli ahhhhh aaaaaaaahh atachek mara 4 4 uyu niendelee nae au niomsepeshe......DEMU NDO ANAPANGA SI MAN(naongelea mademu wa ukweli si wafanyabiashara ambao mnawapangia nyinyi uyu afta kunizungusha nikae nae au nimsepeshe afta kupata ulichotaka.........)
bt msifanye ivo si vyema ata km alikuzungusha we kuwa nae tu syo afta kupata mzigo wa wasepa.......

Wewe endelea kunifanyia huo mchezo mimi nakutizama tu bado :confused2: hatua za kuchukua
 
Kwanini sisi wanaume tuhangaikiapo Demu kwa muda mrefu na kumpata na ukisha m-du unabaki ukijilahumu kwanini ulikuwa unahangahika hivi??hupati jibu?hata radha husahaulika!!nakuona kile kitu kama kitu chakawaida na value yake kuhisha!!Ila yule hambaye hajakukaangisha mahindi huendelea kumpenda!!kwa nini??
Hii kali, lakini hata wanawake afta ku do tunawaona wa kawaidaaaaa
 
finest na ka kiiza fanyen mpango mrud kwa mungu
NI NYINYI TU wanaume m sor baadhi ya wanaume amjatulia ata umpe afta 3minutes ya kukuomba mtamwagana au umpe afta 3yrs afta kukuomba mtamwagana pia
DURABILITY INATEGEMEANA NA MUTUAL STANDING YENU BAINA YENU+CHEMISTRY BTN U 2+INTEREST=INADERTEMINE UWEPO WENU
km ukikuta yaliyomo yamo basi ahh utatulia na msiwe bias ata kwa mademu pia ukionja ukikutafyafyafyaaaaaaaaaaaa babu doooooooro akhu lazima usepe kwa IYO SI NYINYI TU WANAUME NDO MNAOPANGA UYU NIWE NAE KWA MUDA GAN......... ni maridhiano baina zote mbili........nwai maombi mie byeeeeeeeeee
tena 2b precs ni kwamba mademu ndo wanaopanaga uyu nimwekeje ......ao wanaolilia ni wale wafanyabiashara km alikuunda kimmkukuta zaidi basi poa atakulilia afta we kukatisha tenda bt yule wa ukweli ahhhhh aaaaaaaahh atachek mara 4 4 uyu niendelee nae au niomsepeshe......DEMU NDO ANAPANGA SI MAN(naongelea mademu wa ukweli si wafanyabiashara ambao mnawapangia nyinyi uyu afta kunizungusha nikae nae au nimsepeshe afta kupata ulichotaka.........)
bt msifanye ivo si vyema ata km alikuzungusha we kuwa nae tu syo afta kupata mzigo wa wasepa.......
hii ni lugha gani? kiswahili hakuna kiingereza hakuna, kiswanglishi siyo!kazi ipo,
 
Tatizo tamaa,wanaume tunatamaa sana,unataka kila mwanamke ampitie,na sijui atapitia wangapi,ukijieheshimu utaona wanawake wote ni sawa.
 
hii ni lugha gani? kiswahili hakuna kiingereza hakuna, kiswanglishi siyo!kazi ipo,
wafanya kazi bakita kaka?
inategemea unataka kuona kuona nini........km jicho umelipanua kuona kingereza au kiswahil wategemea na wewe
-kwani we mwalimu wa kiswahilli??
we mlengwa wa kushoto?
 
hii ni lugha gani? kiswahili hakuna kiingereza hakuna, kiswanglishi siyo!kazi ipo,

MIKE 1234 ............i ni nomino au namba?oooooooooh ni plate namba kumbe guuuuuuuuud........mkopo swt at??umejikomboa.
gud aftanun n byeeeeeeeeeeeeeee!!!!!
 
Tatizo tamaa,wanaume tunatamaa sana,unataka kila mwanamke ampitie,na sijui atapitia wangapi,ukijieheshimu utaona wanawake wote ni sawa.
guuud,boys mnapenda kuonekana vidume vya mbegu,kila sketi unaitamani after all unakuta pote sawa hakuna ladha tofauti sema wewe tu unajiachia
 
finest na ka kiiza fanyen mpango mrud kwa mungu
NI NYINYI TU wanaume m sor baadhi ya wanaume amjatulia ata umpe afta 3minutes ya kukuomba mtamwagana au umpe afta 3yrs afta kukuomba mtamwagana pia
DURABILITY INATEGEMEANA NA MUTUAL STANDING YENU BAINA YENU+CHEMISTRY BTN U 2+INTEREST=INADERTEMINE UWEPO WENU
km ukikuta yaliyomo yamo basi ahh utatulia na msiwe bias ata kwa mademu pia ukionja ukikutafyafyafyaaaaaaaaaaaa babu doooooooro akhu lazima usepe kwa IYO SI NYINYI TU WANAUME NDO MNAOPANGA UYU NIWE NAE KWA MUDA GAN......... ni maridhiano baina zote mbili........nwai maombi mie byeeeeeeeeee
tena 2b precs ni kwamba mademu ndo wanaopanaga uyu nimwekeje ......ao wanaolilia ni wale wafanyabiashara km alikuunda kimmkukuta zaidi basi poa atakulilia afta we kukatisha tenda bt yule wa ukweli ahhhhh aaaaaaaahh atachek mara 4 4 uyu niendelee nae au niomsepeshe......DEMU NDO ANAPANGA SI MAN(naongelea mademu wa ukweli si wafanyabiashara ambao mnawapangia nyinyi uyu afta kunizungusha nikae nae au nimsepeshe afta kupata ulichotaka.........)
bt msifanye ivo si vyema ata km alikuzungusha we kuwa nae tu syo afta kupata mzigo wa wasepa.......


Duh! Kiswanglishi chako kigumuuuu!!
Ingawa mimi sikubaliani na mtoa hoja! Kama anajilaumu ni yeye, mimi sijawahi kujilaumu.....pengine nalenga KUNAKO!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom