Hivi siku unagundua hili utafanyaje?

Yan lazima nimwambie mdingi au km vipi huyo mshikaji ntamtoa ngeu! Mali ya Baba ni ya baba tu!
 
Mfano kuna topic hapa inazungumzia kuhusu suala la mze mwenye nyumba kumbaka hg. Sasa huoni kama haya mambo yanatokea na ni lazima tuyajadili?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom