Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
najua mnaipenda kazi yenu jamani embu jalini na familia zenu ,,overtime tamu lakini
kuitwa mjomba na watoto zako sio raha kila siku ukija wanakuita mjomba uncle wewe jamani
embu haya mambo tuwahi majumban tukakae nafamilia wapendwa mmmh
angalizo usiwahi kwenye moto najua si kila sehemu ni njiapanda
pls tuwah na vile vifolen vya bongo jamani
kuitwa mjomba na watoto zako sio raha kila siku ukija wanakuita mjomba uncle wewe jamani
embu haya mambo tuwahi majumban tukakae nafamilia wapendwa mmmh
angalizo usiwahi kwenye moto najua si kila sehemu ni njiapanda
pls tuwah na vile vifolen vya bongo jamani