dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Kumekuwa na wimbi kubwa la ushoga hapa nchini kwa sasa.Ni aibu na fedheha kwa jamii yetu ya kitanzania kuiga tabia hii ambayo ni kinyume kabisa na maadili yetu.inashangaza sana pale unapokutana na mtu mwenye nafasi yake nzuri katika jamii lakini ni shoga. Wapo watu wengi hapa mjini wenye pesa zao lakini wanafanya shughuli hizo,nimesikitika kusikia kuwa tabia hizi huanzia utotoni, je watoto wetu wa kiume tunaowapeleka boarding schools wako katika usalama? Ni hatua gani ichukuliwe kukomesha tabia hii?....mawazo yenu tafadhali