mashplayer
Member
- Oct 25, 2011
- 15
- 21
Mimi ni mmoja ya waathirika wa rushwa vyuoni,hili ni tatizo ambalo viongozi wengi wa vyuo wamekuwa wakilifumbia macho kila kukicha.
natoa mifano iliyo hai:
katika chuo cha IFM kuna baadhi ya waalimu wamekuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi wa kike kwa lengo la kuwafaulisha kwenye masomo yao.mjina yao ninayo na hata uongozi wa juu wa chuo unafahamu hilo suala!
Pia uvujaji wa mitihani umekithiri sana mpaka kufikia hatua hata yule bogas wa mwisho anafaulu mitihani pasipo watu kutegemea.na kuwaacha hoi kimaksi wale wanaokesha usiku kucha wakikamua na wala wasione mafanikio yake.
Na pia inafikia hatua hata bogasi huyo akipata sapu asiifanye na kupitishwa tu kuingia mwaka mwingine bila kuliizwa na mtu kutokana na kwamba yeye either babake ni influential person au mpenzi wake ni mkubwa hapo chuo!
HIZI NI FACTS ZA UHAKIKA NA KWELI NA SIO UZUSHI!
natoa mifano iliyo hai:
katika chuo cha IFM kuna baadhi ya waalimu wamekuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi wa kike kwa lengo la kuwafaulisha kwenye masomo yao.mjina yao ninayo na hata uongozi wa juu wa chuo unafahamu hilo suala!
Pia uvujaji wa mitihani umekithiri sana mpaka kufikia hatua hata yule bogas wa mwisho anafaulu mitihani pasipo watu kutegemea.na kuwaacha hoi kimaksi wale wanaokesha usiku kucha wakikamua na wala wasione mafanikio yake.
Na pia inafikia hatua hata bogasi huyo akipata sapu asiifanye na kupitishwa tu kuingia mwaka mwingine bila kuliizwa na mtu kutokana na kwamba yeye either babake ni influential person au mpenzi wake ni mkubwa hapo chuo!
HIZI NI FACTS ZA UHAKIKA NA KWELI NA SIO UZUSHI!