Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
Wanabodi.
Baada ya Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kueleza madudu ya baadhi ya Wizara kuhusika na ubadhirifu wa fedha za umma.
Kamati zote na bunge na ile ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali (POAC) ambayo Mwenyekiti wake Zitto Kabwe, na kamati ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mwenyekiti wake James Lembeli, zilionyesha namna mawaziri walivyoshindwa kuwajibika na kusababishia taifa hasara kubwa.
Hivi (Takukuru) na (DCI) wanachunguza nini wakati (CAG) na ripoti za kamati tatu za bunge zote ziko wazi na wote tumeona hasara iliyotokea, kazi ya Takukuru ni kuchunguza rushwa sijui wanahusika vipi kwenye hili sakata.
Wanasheria tusaidieni ni nani mwenye mamlaka yenye uwezo wa kufungua kesi dhidi ya hawa wahusika.
Baada ya Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kueleza madudu ya baadhi ya Wizara kuhusika na ubadhirifu wa fedha za umma.
Kamati zote na bunge na ile ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali (POAC) ambayo Mwenyekiti wake Zitto Kabwe, na kamati ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mwenyekiti wake James Lembeli, zilionyesha namna mawaziri walivyoshindwa kuwajibika na kusababishia taifa hasara kubwa.
Hivi (Takukuru) na (DCI) wanachunguza nini wakati (CAG) na ripoti za kamati tatu za bunge zote ziko wazi na wote tumeona hasara iliyotokea, kazi ya Takukuru ni kuchunguza rushwa sijui wanahusika vipi kwenye hili sakata.
Wanasheria tusaidieni ni nani mwenye mamlaka yenye uwezo wa kufungua kesi dhidi ya hawa wahusika.