Hivi Ripoti ya CAG pekee haitoshi kupeleka watuhumiwa mahakamani

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,889
32,289
Wanabodi.

Baada ya Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kueleza madudu ya baadhi ya Wizara kuhusika na ubadhirifu wa fedha za umma.

Kamati zote na bunge na ile ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali (POAC) ambayo Mwenyekiti wake Zitto Kabwe, na kamati ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mwenyekiti wake James Lembeli, zilionyesha namna mawaziri walivyoshindwa kuwajibika na kusababishia taifa hasara kubwa.

Hivi (Takukuru) na (DCI) wanachunguza nini wakati (CAG) na ripoti za kamati tatu za bunge zote ziko wazi na wote tumeona hasara iliyotokea, kazi ya Takukuru ni kuchunguza rushwa sijui wanahusika vipi kwenye hili sakata.

Wanasheria tusaidieni ni nani mwenye mamlaka yenye uwezo wa kufungua kesi dhidi ya hawa wahusika.
 
Kama unataka wanasheria wakusaidie peleka jukwaa la sheria.
 
ritz niwewe kweli unaetaka kujua haya? Sisi inabidi tukuulize wewe na Nnauye Jr mtuambie serikali yenu inawajibika vip katika hili?mi nashangaa kama wewe lakin wewe usishangae kama sisi kwakua siri unaijua
 
Last edited by a moderator:
Hii ndiyo njia pekee ya kuendeleza ufisadi mtakatifu, maana yake hapo inaundwa kamati na posho maalum juu. Kwa hiyo hamna jipya, pia ni njia za kuchelewesha ili watu wasahau maana sisi watanzania kwa kusahau haraka tumejaliwa.
 
Audit report ndiyo uthibitisho pekee wa wizi uliotokea au ubadhirifu, kwa kawaida watuhumiwa walipaswa kupelekwa polisi na baadae jalada kufunguliwa.Audit report ndiyo kielelezo kikuuu katika kesi ile maana ndiyo itaonyesha jinsi wizi ulivyofanyika na CAG atakuwa shahidi no1, wanasheria wasaidie mimi najua kidogo sana uhasibu an ukaguzi
 
Wanabodi.

Baada ya Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kueleza madudu ya baadhi ya Wizara kuhusika na ubadhirifu wa fedha za umma.

Kamati zote na bunge na ile ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali (POAC) ambayo Mwenyekiti wake Zitto Kabwe, na kamati ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mwenyekiti wake James Lembeli, zilionyesha namna mawaziri walivyoshindwa kuwajibika na kusababishia taifa hasara kubwa.

Hivi (Takukuru) na (DCI) wanachunguza nini wakati (CAG) na ripoti za kamati tatu za bunge zote ziko wazi na wote tumeona hasara iliyotokea, kazi ya Takukuru ni kuchunguza rushwa sijui wanahusika vipi kwenye hili sakata.

Wanasheria tusaidieni ni nani mwenye mamlaka yenye uwezo wa kufungua kesi dhidi ya hawa wahusika.

Katika nchi ya kifisadi kama Tanzania ambayo inatekeleza zile sera za kulindana haitoshi hata kidogo..by the way Ritz we si unajua kwamba nyie CCM na serikali yenu huu ndio utaratibu wenu,au umeanzisha thread kutu joke mwanakwetu?
 
Wanabodi.

Baada ya Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kueleza madudu ya baadhi ya Wizara kuhusika na ubadhirifu wa fedha za umma.

Kamati zote na bunge na ile ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali (POAC) ambayo Mwenyekiti wake Zitto Kabwe, na kamati ya bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mwenyekiti wake James Lembeli, zilionyesha namna mawaziri walivyoshindwa kuwajibika na kusababishia taifa hasara kubwa.

Hivi (Takukuru) na (DCI) wanachunguza nini wakati (CAG) na ripoti za kamati tatu za bunge zote ziko wazi na wote tumeona hasara iliyotokea, kazi ya Takukuru ni kuchunguza rushwa sijui wanahusika vipi kwenye hili sakata.

Wanasheria tusaidieni ni nani mwenye mamlaka yenye uwezo wa kufungua kesi dhidi ya hawa wahusika.
naona sasa M4C imefika pazuri, kama na wewe mkuu ritz umeweza kuyaona haya ngoja tumsubiri tu Nepi kujua msimamo wake

 
Ushaidi ni report za kamati na report ya CAG what else do we need to place these culprit in the house they deserve 'Segerea"
No wonder wanataka kutupotezea issue ipoe watu waendelee kupeta mtaani!
 
Ushaidi

ni report za kamati na report ya CAG what else do we need to place
these culprit in the house they deserve 'Segerea"No wonder wanataka
kutupotezea issue ipoe watu waendelee kupeta mtaani!

ripoti ya mkaguzi ni tofauti na jalada la uchunguzi. ripoti haiongei mahakamani inabidi watafutwe mashahidi wa kuipresent na wachukuliwe
maelezo kwa mujibu wa kanuni za mwenendo wa mashtaka na sheria ya ushahidi.
 
Back
Top Bottom